Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Huu ujinga kukujibu ni kupoteza muda
Tupu yako ipo lumumba FC buku saba
Tupu yako ipo lumumba FC buku saba
Umeamua kuedit jina fara weweHuu ujinga kukujibu ni kupoteza muda
Akipelekwa huko mahakaman utakuja na uzi kuwa ni chuki na kisasi.Mpelekeni mahakamani si kumchafua kila siku kwenye magazeti na mitandao ya kijamii. Majungu tu.
Mbatizaji hivi unaona haya yanayoendelea yapo sawa?Bwashee umeshapanic!
Badilika na tabia sio jina tuuHuu ujinga kukujibu ni kupoteza muda
Wachaga mna shida sana! Hivi hii nchi ni yenu pekeenu?
Alafu kwa nini wanaolalamika ubaguzi wa Rais ni wachaga tu,? Yani katika makabila zaidi ya 200 wachaga tu ndio wanalalamika mna nini nyie?
Acheni upumbavu bwana
Huyo ni boya tuBadilika na tabia sio jina tuu
Kwa hiyo jamaa anakaa kijijini rondo ? ni mkulima kwa sasa au? Anasubiri zamu pale Nyerere alipaita patakatifu akapigeAnaandika Bernard Membe.
Rondo- Lindi.
Watanzania Wenzangu! Nawasalimia! Kwa siku tatu mfululizo magazeti ya makuhani wa fitina na unafiki Musiba na Mchange na wenzao wamekuwa wakinishambulia kwa uchochezi wa sintofahamu iliyotokea kuanzia Alhamisi tarehe 17 Octoba siku ambayo Mhe Rais ameondoka Lindi kuelekea Dar hadi Jumapili ya tarehe 20. Mimi nipo Kijijini kwangu Rondo kwa mwezi mmoja sasa.
Ni nini hicho nilichokisema au kukiandika kwenye mitandao ya kijamii? Kwa kuwa mawasiliano yangu yote nayafanya kwa simu yangu ambayo inasikilizwa na kudukuliwa, naviomba vyombo vinavyohusika vitoe hadharani mazungumzo na maandishi yangu ili watu wasikie, wasome na wanihukumu. Napenda niuhakikishie umma kuwa Mimi sikuwa mjinga! Nilijua kuwa nikisema au kuandika vibaya, wabaya wangu wataninyooshea vidole.
Sikuingia kwenye mitego yao hiyo. Mimi kama Watanzania wote wenye akili za kawaida nilishangazwa sana na ukimya wa Serikali huku damage na rumours zikiwa zimetanda kote nchini bila kuzitolea maelezo kwa siku 3 mfululizo! Mhe. Rais ni kiongozi wa Umma. Inapotokea sintofahamu au upotoshaji wowote ule, ulikuwa ni wajibu wa Msemaji wa Ikulu au wa Serikali kukanusha na kuweka mambo sawa kama wanavyofanya siku zote.
Vinginevyo wale wenye akili za mbilikimo na makuhani wa unafiki wanachukua mwanya huo kutunga ya kwao ili kumfurahisha Mhe. Rais. Good governance requires quick response to rumours. Rumours left unattended damages governance! Narudia! Naviomba vyombo husika vitoe hadharani nilichokisema au kupost kwenye mitandao ili nihukumiwe na Wananchi wenyewe na sio na Wabwekaji wa Taifa.
Ben Membe.
Rondo- Lindi.View attachment 1241102View attachment 1241103
Umeupmaje
Msome jasusi member hapa Komeo Lachuma
Kuna wakati hata kama hutaki kuamini utajikuta unaamini tuu kuwa ccm ni kusanyiko lililo jaa IQ below averageMembe ni kilaza kama kilaza mwingine.sana sana atakuwa rais wa familia yako tu...
Hata ukifungia maandazi ukienda kula unaweza kupata kansa ya ubongoMagazeti ya cyprian Musiba hayana wanunuzi hakuna Mtanzania mwenye busara na hekima ataenda kukununia gazeti hizo za kufungia mandazi
Kuna wakati hata kama hutaki kuamini utajikuta unaamini tuu kuwa ccm ni kusanyiko lililo jaa IQ below average
Una ushahidi au unabwabwajaMembe arudishe tu mabilion ya Watanzania aliyopora kutoka libya
Jamhuri ikiamua kumshitaki atafilisika
Pia sio vizuri kuwatumia vijana kubweka mtandaoni kuisema serkali
Tuendelee kumuunga mkono mh Rais Kwa uchapa kazi