Membe: Musiba na Mchange anayewatuma kunichafua kwanini hamnipeleki mahakamani? Kama mnaweza kunirekodi mmeshindwa nini kutoa huo ushahidi

Mchange anatembelea bodaboda.......ndio anapiga hela huyo?!
Kwa kabila Mchange ni mzaramo , hawa hata ukiwapa bei gani wao ni kuongeza wake tu , hivi kijana kama Mchange ni wa kumiliki wake wanne yule ? Taarifa ambazo hazijathibitishwa zinanong'oneza kwamba kila siku awamu ya 5 inamlipa 15mil kwa huo ujinga anaoandika ! Sometimes nawaza hivi hela kama hizo kwanini wasikupe wewe unayeshupaza shingo humu jf kutetea mauaji na udikteta ? ama kweli dunia haina huruma .
 
Kwa kabila Mchange ni mzaramo , hawa hata ukiwapa bei gani wao ni kuongeza wake tu , hivi kijana kama Mchange ni wa kumiliki wake wanne yule ? Taarifa ambazo hazijathibitishwa zinanong'oneza kwamba kila siku awamu ya 5 inamlipa 15mil kwa huo ujinga anaoandika ! Sometimes nawaza hivi hela kama hizo kwanini wasikupe wewe unayeshupaza shingo humu jf kutetea mauaji na udikteta ? ama kweli dunia haina huruma .
Labda mimi ndio namlipa huyo Habibu......unajuaje?!
 
Anaandika Bernard Membe.
Rondo- Lindi.

Watanzania Wenzangu! Nawasalimia! Kwa siku tatu mfululizo magazeti ya makuhani wa fitina na unafiki Musiba na Mchange na wenzao wamekuwa wakinishambulia kwa uchochezi wa sintofahamu iliyotokea kuanzia Alhamisi tarehe 17 Octoba siku ambayo Mhe Rais ameondoka Lindi kuelekea Dar hadi Jumapili ya tarehe 20. Mimi nipo Kijijini kwangu Rondo kwa mwezi mmoja sasa.

Ni nini hicho nilichokisema au kukiandika kwenye mitandao ya kijamii? Kwa kuwa mawasiliano yangu yote nayafanya kwa simu yangu ambayo inasikilizwa na kudukuliwa, naviomba vyombo vinavyohusika vitoe hadharani mazungumzo na maandishi yangu ili watu wasikie, wasome na wanihukumu. Napenda niuhakikishie umma kuwa Mimi sikuwa mjinga! Nilijua kuwa nikisema au kuandika vibaya, wabaya wangu wataninyooshea vidole.

Sikuingia kwenye mitego yao hiyo. Mimi kama Watanzania wote wenye akili za kawaida nilishangazwa sana na ukimya wa Serikali huku damage na rumours zikiwa zimetanda kote nchini bila kuzitolea maelezo kwa siku 3 mfululizo! Mhe. Rais ni kiongozi wa Umma. Inapotokea sintofahamu au upotoshaji wowote ule, ulikuwa ni wajibu wa Msemaji wa Ikulu au wa Serikali kukanusha na kuweka mambo sawa kama wanavyofanya siku zote.

Vinginevyo wale wenye akili za mbilikimo na makuhani wa unafiki wanachukua mwanya huo kutunga ya kwao ili kumfurahisha Mhe. Rais. Good governance requires quick response to rumours. Rumours left unattended damages governance! Narudia! Naviomba vyombo husika vitoe hadharani nilichokisema au kupost kwenye mitandao ili nihukumiwe na Wananchi wenyewe na sio na Wabwekaji wa Taifa.

Ben Membe.
Rondo- Lindi.View attachment 1241102View attachment 1241103

Aliposema Akili za ' Kimbilikimo ' ina maana Sisi ' Mbilikimo ' hatuna thamani wala umuhimu hapa duniani? Je, angekuwa anagombea Urais katika Taifa lenye hao ' Mbilikimo ' wengi anaoonekana ' Kuwadharau ' kama pia si ' Kuwakashifu ' bado tu asingeweza kuwapigia Magoti na Kuomba Kura zao?

Aliyempa Yeye huo Urefu ndiyo huyo huyo kawapa wengine huo ' Umbilikimo ' anaoupuuza. Kuna Watu wengine hawajui tu ni kwanini hawafanikiwi katika kila nia zao mbalimbali za Kisiasa na ndiyo maana Mwenyezi Mungu ' anawabania ' kwa kila hali kutimiza adhma zao lakini bado hawajifunzi tu.

Kwa Kejeli hizi kwa ' Mbilikimo ' halafu bado unataka kabisa eti kuwa Rais wa Tanzania. Rais ni Dkt. John Pombe Joseph Magufuli pekee na anamaliza muhula wake wa Kwanza mwakani 2020 kisha anaendelea na mwingine wa 2020 hadi 2025 na akimaliza CCM itampata tu Mtu mwingine sahihi na wala si Benard Membe na wala asijisumbue kwa hilo. Na hata akihamia sijui Upinzani bado Benard Membe hawezi na hatokuja na haitotokea akaja kuwa Rais wa Tanzania hii ambayo Mimi GENTAMYCINE nipo na naishi.

Na kuna ' Mbilikimo ' wana Akili hata kumzidi Yeye.
 
Kwa kabila Mchange ni mzaramo , hawa hata ukiwapa bei gani wao ni kuongeza wake tu , hivi kijana kama Mchange ni wa kumiliki wake wanne yule ? Taarifa ambazo hazijathibitishwa zinanong'oneza kwamba kila siku awamu ya 5 inamlipa 15mil kwa huo ujinga anaoandika ! Sometimes nawaza hivi hela kama hizo kwanini wasikupe wewe unayeshupaza shingo humu jf kutetea mauaji na udikteta ? ama kweli dunia haina huruma .
Wale ni wapiga propaganda awapigi bure bila check kwa kujifichia kwenye uhanarakati uchwara.Yale magazeti ya kufungia kondomu hayana mnunuzi jiulize kwann siku siku yako sokoni amini nakuambia awamu hii mnufaiko kwao ikipita utoyaona sokoni tena maana yatakufa kwa kukosa ruzuku,hakuna awezae nunua takataka zile na kupeleka ujinga nyumbani hata watoto watakushangaa maana MTU aliyeelimika hawezi nunua magazeti yale.Madikteta wote duniani wamewekeza kwenye propaganda na kucheza na kamera ukitaka kutajirika wewe jitoe ufahamu kwa kusifu na kuabudu utazikimbia pesa.
 
Aliposema Akili za ' Kimbilikimo ' ina maana Sisi ' Mbilikimo ' hatuna thamani wala umuhimu hapa duniani? Je, angekuwa anagombea Urais katika Taifa lenye hao ' Mbilikimo ' wengi anaoonekana ' Kuwadharau ' kama pia si ' Kuwakashifu ' bado tu asingeweza kuwapigia Magoti na Kuomba Kura zao?

Aliyempa Yeye huo Urefu ndiyo huyo huyo kawapa wengine huo ' Umbilikimo ' anaoupuuza. Kuna Watu wengine hawajui tu ni kwanini hawafanikiwi katika kila nia zao mbalimbali za Kisiasa na ndiyo maana Mwenyezi Mungu ' anawabania ' kwa kila hali kutimiza adhma zao lakini bado hawajifunzi tu.

Kwa Kejeli hizi kwa ' Mbilikimo ' halafu bado unataka kabisa eti kuwa Rais wa Tanzania. Rais ni Dkt. John Pombe Joseph Magufuli pekee na anamaliza muhula wake wa Kwanza mwakani 2020 kisha anaendelea na mwingine wa 2020 hadi 2025 na akimaliza CCM itampata tu Mtu mwingine sahihi na wala si Benard Membe na wala asijisumbue kwa hilo. Na hata akihamia sijui Upinzani bado Benard Membe hawezi na hatokuja na haitotokea akaja kuwa Rais wa Tanzania hii ambayo Mimi GENTAMYCINE nipo na naishi.

Na kuna ' Mbilikimo ' wana Akili hata kumzidi Yeye.
Hata mbilikimo wote Tz wakisusa hawawezi badili mambo.Buhari,Museven,George Washington,Boutleafrik,Mugabe wamegombea wakiwa na miaka mingapi? Ukiwa unaishi ni kupambana hadi siku za mwisho ili utimize lengo lako.Neno mbirikimo ni tafsiri na si maanishi.Sawa na kumuita MTU mbwa!Akili mbilikimo ni maanishi ya MTU mwenye akili fupi kama hao propagandist.
 
Sikuingia kwenye mitego yao hiyo. Mimi kama Watanzania wote wenye akili za kawaida nilishangazwa sana na ukimya wa Serikali huku damage na rumours zikiwa zimetanda kote nchini bila kuzitolea maelezo kwa siku 3 mfululizo! Mhe. Rais ni kiongozi wa Umma. Inapotokea sintofahamu au upotoshaji wowote ule, ulikuwa ni wajibu wa Msemaji wa Ikulu au wa Serikali kukanusha na kuweka mambo sawa kama wanavyofanya siku zote.

Vinginevyo wale wenye akili za mbilikimo na makuhani wa unafiki wanachukua mwanya huo kutunga ya kwao ili kumfurahisha Mhe. Rais. Good governance requires quick response to rumours. Rumours left unattended damages governance!

KWA PARAGRAPH HIZO HAPO JUU
MOJA KATI YA HAYA NI KWELI

1. Baada ya kuona serikali imeamua kufuata kile marehemu Mzee Samweli Sita alichosema nanukuu " dawa ya mpuuzi ni kumpuuzia" hivyo mwendelezo wa fitna yenu ikawa imegonga mwamba.

Au

2. Kwakua umewahi kujinasibisha kwa jeuri kipindi simu yako ilipodukuliwa kwamba nanukuu " sauti Ile Ni ya kwangu" na hukuchukuliwa hatua yoyote, Sasa umeamua kuudhihirishia umma wa watanzania kwamba hutishwi na wala humuogopi yeyote.

MZEE WANGU
Naomba nikusimulie kisa maarufu katika uislamu cha Bwana mmoja wa kuitwa Qaarun huyu alikua na mali ambazo farasi wapatao saba ndio waliokua wakitumika kubeba funguo kufungulia maghala ya mali. Akaleta jeuri, aliye juu yetu sote alimfilisi na kuwa ombaomba na hatimaye kufa masikini.

Inawezekana Wana CCM wenzako wakawa wanakutizama ukadhani hawatafakari uyafanyayo bali, wanakusukia mtego siku moja utanasa na ndipo habari yako itakua imeishia hapo, muda hautoshi ningekukumbusha kilichomtokea Joshua Nasar huyu akijifanya mwana intelijensia akarekodi akakusanya ushahidi kwa njia ya sauti na video badala ya kuwasilisha kwa mamlaka husika akaweka mtandaoni ushahidi ukawa umeharibika, kishapo wakamuweka kwenye kilengeo akaingia wakala kichwa na Mh. Tundu Lissu akachonga akazunguka ulaya na amerika akabwata hakujibiwa akajiona mshindi akategwa akaingia mtekoni kichwa kikaliwa na sasa hata kurudi nyumbani anaogopa.

NI HAYO TU.
Hizi pumba
 
Hata mbilikimo wote Tz wakisusa hawawezi badili mambo.Buhari,Museven,George Washington,Boutleafrik,Mugabe wamegombea wakiwa na miaka mingapi? Ukiwa unaishi ni kupambana hadi siku za mwisho ili utimize lengo lako.Neno mbirikimo ni tafsiri na si maanishi.Sawa na kumuita MTU mbwa!Akili mbilikimo ni maanishi ya MTU mwenye akili fupi kama hao propagandist.

Bado hujanishawishi na huu ' Upuuzi ' uliouwasilisha hapa tafadhali. Jaribu tena!
 
Kumtetea mgonjwa hakuondoi ugonjwa wake. Toka jumapili mpaka leo hajaonekana fonti fedi ujue bado hajapona vizuri, muda ni mwalimu mzuri sana black and white zitajulikana tu. Kwanza kuugua siyo dhambi au huyo Jiwe wenu huwa haugui?Kwahiyo mnataka kutuaminisha malaika mkuu Jiwe huwa haugui siyo?
Sasa kama kuumwa ni kawaida kipi kilikuwa kina wapa Mchecheto?
 
Sasa na u-forward wake+ujasusi wake ikawaje mtu aliyetoka huko Chato wala hata huko nje haendagi akamshinda/akapeperusha bendera ya chama kwny urais?
History haionyeshi amewahi shinda kwa uwezo binafsi si kwenye siasa,kwenye uchumi au chochote nje ya kubebwa na nguvu na si hoja binafsi za ushawishi.
 
Back
Top Bottom