Membe: Msiponichagua mimi mchagueni Pinda

Membe: Msiponichagua mimi mchagueni Pinda

Hatutaki kupigwa.Pinda hatufai.

anawazuga huyo na wewe umeamini kweli kuwa pinda ndo atapitishwa watakaempitisha hautasikia wanamsema hata siku moja mpaka mwisho ,kama moshi mweupe vile wa kumpata papa,sorry kama wewe sio mkristo ,
 
Kujiamini pasipo shaka ni mojawapo ya sifa ya kiongozi
makini anayekubalika.

Sina shaka na Mh.Membe ila inashangaza kuona hajiamini
yeye kama yeye kama anafaa kuwa Rais wa nchi.

Anyway ni mtazamo wangu tu kwani ili uitwe kiongozi wa
nchi ni wajibu wako kujifahamu na kujitambua kwamba
unaweza pasipo shaka na si kutafuta mbadala wako.
 
Akizungumza kwenye ukumbi wa CCM Sabasaba (huko Sumbawanga), Membe alisema kuwa Waziri Pinda ni mtu mchapakazi, asiye mbinafsi, mwadilifu, mvumilivu sana mwenye hekima na busara ya hali juu, mwanasheria aliyebobea na ndiye mwalimu wake ambaye alimfundisha kazi.



“Wengine wote hawanitishi nitawagonga, nitawagonga, lakini nikifika kwa Pinda itabidi nipumue kwanza. Kwa hiyo mimi na Pinda ni pacha nikishindwa mimi nitamuunga mkono,” alisema Membe ambaye pia aliwahi kusema atamuunga mkono Profesa Mark Mwandosya

Source: Gazeti la Mwananchi: Kada achukua fomu, atembea hadi stendi - Kitaifa



My Take: Huyu bwana hajielewi. Kila anapopita, anaahidi kumuunga mkono mzawa wa eneo husika. Hii ni kumaanisha hana confidence, sio makini au anajiandalia mazingira ya kukumbukwa huko mbele ya safari?
 
My Take: Huyu bwana hajielewi. Kila anapopita, anaahidi kumuunga mkono mzawa wa eneo husika. Hii ni kumaanisha hana confidence, sio makini au anajiandalia mazingira ya kukumbukwa huko mbele ya safari?

Na wewe umeona eeeh!

Ngoja tusubiri tuone kama akifika Arusha/Monduli atasema kwamba atamuunga mkono ENL
 
Membe nae mara namuunga mkono Mwandosya mara Pinda, ni udhaifu mkubwa huo. Simamia nia yako.
 
Anawafanya watu wendawazim wasie mfuatilia matamshiyake, mwaka huu ccm wenyewe kwa wenyewe matumbo ni moto ila muhimu ni kumpata kiongozi wakuikoa Tanzania lazima awe mzalendo ktk nafsi yake na mwenye kumuogopa mungu ktk nafsi yake.TEAM WAZALENDO
 
Membe nae mara namuunga mkono Mwandosya mara Pinda, ni udhaifu mkubwa huo. Simamia nia yako.
aibu sana kwa mgombea urais kuwa na Kauai zaid ya moja.naona anajikosha kosha tu kama ombaomba msaniiii
 
Na wewe umeona eeeh!

Ngoja tusubiri tuone kama akifika Arusha/Monduli atasema kwamba atamuunga mkono ENL
Siasa za Tanzania lolote linawezekana! Usishangae akitujuza yeye na Lowassa hawakukutana barabarani!
 
membe ni mwana democrasia nimekubali,kitendo cha kuwaona na wenzako wanaweza ni kitendo cha ukomavu wa hali ya juu sana
tofauti na lowasa anayeona wenzake wote ni takataka yeye peke yake ndo bora,
ukitaka kuwapima ukomavu wote ni kwamba lowasa awezi kutoa kauri kama hiyo,maana asiye kubali kushidwa si mshindani,n atakuwa dikitaita yuko tayari kufanya chochote kwenda ikulu pasipo kujali maisha y awatanzania
 
aibu sana kwa mgombea urais kuwa na Kauai zaid ya moja.naona anajikosha kosha tu kama ombaomba msaniiii

na yule je anaesema nchi itayumba ,itatikisika wataniona nikikosa nafasi kama vile ikulu ni ngao kwenye wosia wa babayake,yupi anatufaa

 
Ccm wasipompitisha makongoro ndo mwisho wao
 
Anawafanya watu wendawazim wasie mfuatilia matamshiyake, mwaka huu ccm wenyewe kwa wenyewe matumbo ni moto ila muhimu ni kumpata kiongozi wakuikoa Tanzania lazima awe mzalendo ktk nafsi yake na mwenye kumuogopa mungu ktk nafsi yake.TEAM WAZALENDO

uko sahihi lakini mungu yuko pamoja na sisi TIMU WAZALENDO TIMU CCM MAKINI ,tutamshinda shetani hatuwezi kukabizi nchi huu mtandao maana watanzania wataturaumu vizazi na vizazi.
 
Akizungumza kwenye ukumbi wa CCM Sabasaba (huko Sumbawanga), Membe alisema kuwa Waziri Pinda ni mtu mchapakazi, asiye mbinafsi, mwadilifu, mvumilivu sana mwenye hekima na busara ya hali juu, mwanasheria aliyebobea na ndiye mwalimu wake ambaye alimfundisha kazi.


japo mbele yetu anaweza akaonekana ni mdhaifu ila jamaa yupo very strategical na hata huko kwa wote hao anaowaunga mkono ameshasoma alama zao za nyakati kuwa mmoja wao atateuliwa na chama kuwa mgombea kiti cha urais na kwa bahati mbaya kwa wapinzani na nzuri kwa wana ccm ni kwamba siku ambayo ccm watamtangaza tu mgombea wao basi ndiyo watakuwa wameshamtangaza rais ajaye wa nchi hii kuchukua nafasi ya mzee wetu jakaya mrisho kikwete.
"Wengine wote hawanitishi nitawagonga, nitawagonga, lakini nikifika kwa Pinda itabidi nipumue kwanza. Kwa hiyo mimi na Pinda ni pacha nikishindwa mimi nitamuunga mkono," alisema Membe ambaye pia aliwahi kusema atamuunga mkono Profesa Mark Mwandosya

Source: Gazeti la Mwananchi: Kada achukua fomu, atembea hadi stendi - Kitaifa



My Take: Huyu bwana hajielewi. Kila anapopita, anaahidi kumuunga mkono mzawa wa eneo husika. Hii ni kumaanisha hana confidence, sio makini au anajiandalia mazingira ya kukumbukwa huko mbele ya safari?

japo mbele yetu anaweza akaonekana ni mdhaifu ila jamaa yupo very strategical na hata huko kwa wote hao anaowaunga mkono ameshasoma alama zao za nyakati kuwa mmoja wao atateuliwa na chama kuwa mgombea kiti cha urais na kwa bahati mbaya kwa wapinzani na nzuri kwa wana ccm ni kwamba siku ambayo ccm watamtangaza tu mgombea wao basi ndiyo watakuwa wameshamtangaza rais ajaye wa nchi hii kuchukua nafasi ya mzee wetu jakaya mrisho kikwete.
 
Hao ndio ccm bwana utawapenda kwanamna wanavyojichakachua kinamna wenyewe!ebu ngoja tuwe wakweli, ukimwangalia membe, pinda, ngereja, lowasa, migiro, jadge r, na wengine watia nia wa ccm ukiachilia m.nyerere na kidoogo mwandoswa kweli wanakariba ya uongozi kweli?! Pima utendaji wao mda ambao wamekaa serikalini, hivi wananini cha kujivunia kwamba wamelifanyia taifa hili zaidi ya kutuibia tu tangia wameingia madarakani? Ukishazoea kuiba we nimwizi tu na mals zote mwizi hatosheki. Uongozi ni karama wala hauitaji pesa, maguvu wala umarufu wa mtu.haniliowataja hapo juu kuna mwenye sifa hizo? Hata ukiwaangslia tu nyuso zao hawans tbs ya uongozi. Ukawa hoyeeeee.. ...chadema juuuuuu……… .!
 
Back
Top Bottom