Membe haongei na vyombo vya habari

Membe haongei na vyombo vya habari

Nakumbuka mwaka Jana nilikula hela kwenye kambi ya friends of lowassa
 
Niwapuzi walio jibalagazua kuanzisha habari ya kizushi
Hongera sana Membe
Jee hili ni tamko kutoka ACT au no lako mwenyewe? Ni jambo jema kwa ndugu (ACT na CCM) kuonyesha ushirikiano wakati mgumu kama huu
 
HATA Mtt Wa Grade 1 Hawezi KUKUBALI Huo UZI Wa Kanusho!!!
 
HATA Mtt Wa Grade 1 Hawezi KUKUBALI Huo UZI Wa Kanusho!!!
Alitakiwa aseme hivi, Baada ya kuitwa na kuelezwa kuwa nitakiweka chama changu njia panda nimeamua kusitisha kuongea na waandishi wa habari
 
Bado kuna Friends of Membe ?
...vema wote tukawa Friends of Magufuli, Friends of Tanzania, Friends of Maendeleo !
 
Hawa wanasiasa aina ya Membe na siasa za aina yao wakiendekezwa hatutofanya kazi zaidi ya kupiga siasa ....
 
Membe hana chance tena kutokana na tabia yake ya unafiki. Mwisho wa political career yake ilikuwa ni era ya JK. Ni bora akajikita na shughuli ndogondogo kama wastaafu wengine lakini yeye siyo political material

hajafanya analysis ya kujua anasimama wapi kwenye jamii aliyoiongoza? Wale vijana wa chuo kikuu wamemjibu vizuri sana. Akae kimya. Wakati ukuta. Hata kule alikoajiriwa kuna umri wanastaafu. Kuna wengine wako kule na vipaumbele vipya. Anachotafuta ni nini?
 
Hawa wanasiasa aina ya Membe na siasa za aina yao wakiendekezwa hatutofanya kazi zaidi ya kupiga siasa ....
kwani wewe ulitakaje? ulikuwa chadema kwa sababu ya Padre slaa. slaa hayupo chadema umeenda kwa magufuli. na sasa unatetea kwa nguvu zote kuliko hata sisi tuliokuwa huko kumsapoti kuanzia mwanzo. driving force yako inajulikana, muache Membe awe huru kusema chochote kwenye nchi yake.
 
Nchi haiongozwi kutoka kichwani, inaongozwa kwa mjibu Wa sheria na katiba.

Kwa hiyo swala la kulipa kodi siyo la hiari na wala halijaletwa na Magufuli lipo kisheria. Sasa Membe atuambie angekuwa rais yeye angeongoza kutoka kichwani mwake au kwa kufuata sheria za nchi??
Kumbuka kuna nchi ukikwepa kodi na ikagundulika Unanyongwa!!!

Hakuna nchi iliyoendelea kwa kuleana leana hivi.
Na ndio maana Watz wengi tulikuwa hatutaki rais Wa kuchukua fomu huku ameandama na Kundi la watu ,madhara yake ndio haya, hapa Membe ni lzm anatetea rafiki zake wameguswa..

Lkn Magufuli alishasema tokea mwanzo kuwa kutumbua jipu kuna maumivu, bahati mbaya halina dawa nyingine.

Membe acha tu augulie maumivu ya jipu ndio kupona kwake




Asante Mungu kwa kutuebushia mbali watu Wa aina hii kuwa viongozi wetu
 
Back
Top Bottom