chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,695
- 22,717
Mhe. Tundu Lissu niungane na mamilioni ya Watanzania kukukaribisha Nyumbani. Mapokezi makubwa na ya amani uliyoyapata leo kutoka kwa Wananchi na hasa CHADEMA ni ushahidi wa upendo kwako na salaam kwa Watawala kuwa mitano inatosha! Sasa tujipange na tuunganishe nguvu!
TUTASHINDA!
TUTASHINDA!