Peleka mikwara yako huko ulipolalia , hivi Nchi hii kuna kitu kinaitwa ushahidi? Tokea lini ushahidi ukakubalika mbele ya mwenye pesa? Kombe aliuawa kwa kufananishwa na jambazi tena aliinua mikono juu akajitambulisha lakini bado alipigwa shaba, kama unataka Ushahidi nenda nyumbani kwa Nyerere kawaulize ndugu wa Nyerere watakupa picha A-Z . Kisha kautoe unapotaka wewe.Mkuu kuna sheria ya cyber crime, unaifahamu vizuri lakini au unaropoka Jamii Forum?, ukiombwa utoe ushahidi wa maneno yako utakuwa tayari kutoa ushirikiano?. Sio Kila kifo kina mkono wa mtu, usipende sana kusikiliza stori za mitaani
Ahadi alizopewa na Magufuli hazijatekelezwa roho inamuuma sana.Membe si alimpongezaga Magufuli kwa zuio la safari za nje, leo imekuwaje tena?
Membe analilia Ulaji pia ana Machungu sana maana kaiteketeza pesa ya marehemu Gaddafi wa libya kwa ajili ya Magufuli alafu leo hajapewa cheo chochote kile ! Katumwa na wengine awasemee hayupo peke yake yupo na kundi lake wakiwemo akina January makamba na wenzao ambao hawana ubavu wa kuthubutu kusema yaliyopo mioyoni mwao.Kuna umuhimu wa kuweka historia ya mambo iliyo sahihi; marehemu Horace Kolimba katika uhai wake alikosoa kuwa chama yaani ccm kilikuwa kimepoteza dira na wala hakuikosoa serikali na ndio maana aliitwa kujieleza mbele ya kamati kuu ya chama!!
Membe kwa upande wake anakosoa kile anachoamini kuwa serikali ya Magufuli haijafanya sahihi; lakini hayo ni mawazo yake ambayo mimi nayaona kama ni potofu. Rais Magufuli ana dhamira ya kupunguza matumizi ya serikali na sehemu ambayo imebainika kuwa ni kubwa katika matumizi hayo ni safari za nje za watumishi wa serikali hivyo kuthibiti matumizi hayo ndiyo ameweka utaratibu wa kuwazuia watumishi bila kusafiri mpaka wameruhusiwa na mamlaka stahiki.
Membe na watu wengi wanapotosha kuwa Rais amekataza watumishi wasifanye safari za nje hilo sio kweli, Rais amekataza watu kufanya safari kwenda nchi za nje bila kuwa na umuhimu wa kufanya hivyo!! Yeye mwenyewe Rais pia atafanya safari kwenda nchi nje pale tu itakapokuwa ni lazima afanye hivyo na wala hajasema kuwa yeye hatafanya safari za nje kama watu wanvyotaka watu waamini.
Sio siri kuwa Membe na genge lake waliwekeza sana kuutaka urais pamoja na kupata msaada wa fedha nyingi toka Libya ; sasa maadam wananchi waliamua kuwa Membe hafai ingefaa akae chini na kufanya biashara ya hotel aliyojenga kutokana na hizo fedha za Gaddaffi!!
Kumlinganisha Membe na marehemu Kolimba ni kutaka kumkweza Membe afikie mahala asipo stahili; Horace alikuwa ni mtu mwenye hadhi ya juu sana!
Nina wasiwasi kama umemuelewa The boss.Awamu hii ya tano utaandika sana!
Utajitahidi kujenga hoja zenye hoja, vihoja na viroja.
Utajaribu kutafuta viunganisho vya hoja hata visivyo na mantiki ambavyo wengine wanasema dots.
Nani amekudanganya kuwepo kwako wakati Kolimba akitamka maneno hayo ndiyo kigezo cha kufahamu zaidi ya ambao hawakuwepo?
Kuleta dots zinazodai Membe anaweza kuwa Kolimba ni absurd to say the least.
Watu wa aina yako ni wale ambao walikuwa wanashangaa kuwaona kina Mzee Warioba wakimpigia kampeni Magufuli huku wakitoa sababu wakisema anasaliti Rasimu yake ya Katiba Mpya bila kujua mantiki ya lesser evil.
Hata pumba kwa wengine wenye fikra fupi huwa ni nguvu ya hoja!
ulikuwa na miaka mingapi then?
Kwa kadiri nilivosoma story ya Kolimba kumbukumbu zinanieleza Kolimba alikufa kwa kupigwa risasi licha ya kunyoosha mikono juu kuashiria kuwa amesalenda!!
Hiki kisa chako kumuhusu ni kipya kwangu. . hilo tu
BACK TANGANYIKA
Nenda peke yako sisi bado tunayapenda maisha ya hapa dunianiParapanda litalia paraparanda litalia kwenda kumuona bwana Yesu Mawinguni,wangapi mpo nami tayari kwenda jamani
Na familia yake ililipwa fidia ya mamilioni ya pesaaliyeuawa hivyo si Kolimba ila ni Amrani Kombe aliyekuwa mkuu wa TISS.
aliyeuawa hivyo si Kolimba ila ni Amrani Kombe aliyekuwa mkuu wa TISS.
Membe ni Nyoka wa TISS hawamuwezi.
Hiyo ni moja mkuu Savimbi. La pili hapo ni watanzania waache ujinga wa kuogopa kutoa mawazo yao eti kisa kuna aliyetoa wakamfanyizia kwa ule utaalam wao wa kuweka mambo flani kwenye mike au mambo kama haya. Mimi nakumbuka sana yaliyomkuta Jamaa yule, ila isiwekigezo cha kuwanyima watanzania wa leo kutoa maoni yao kwa kile kisa, No hata kidogo. Kama hoja ina nguvu basi na vigezo vizingatiwe na kama haina mashiko basi mhusika aeleweswhwe wapi kachemka na si KUMLINGANISHA NA MAREHEMU. Tunahisi bila kuthibitisha kuwa yule walimkolimba kiaina maana hata hakumaliza ile hoja yake ya ccm haina dira wala muelekeo, hawakumpa chance ya kuimaliza angalau watz tumuelewe alikua na maana gani. Sasa huyu wa sasa haimaanishi hajui yale mambo yao, najua anajua sana na labda anayo maana yake kusema aliyosema, so why the big boss na mlingano wako huu?? Au ndo unamfundisha uoga??? Kwani JPM ni Mungu asikosolewe??? Kwani unapokua kiongozi ndo unakua more perfect???? Oode mbe.. Kama yule walimkolimba, poa ila alisema kwa kinywa chake na wapo waliomuelewa sana tu, na huyu wakimmembe bado itakua poa tu maana kana watz weengi tu wamemuelewa na kifo chake kitakua changamoto zaidi kwa hali ya sasa.Membe ni Nyoka wa TISS hawamuwezi.
Kwa kadiri nilivosoma story ya Kolimba kumbukumbu zinanieleza Kolimba alikufa kwa kupigwa risasi licha ya kunyoosha mikono juu kuashiria kuwa amesalenda!!
Hiki kisa chako kumuhusu ni kipya kwangu. . hilo tu
BACK TANGANYIKA
Huu sasa ni uchonganishi, kisa tu alitoa mawazo yake????????????????????????Magufuli akiugua mafua .. membe umesababisha.. haaa
Kama utakataa kukosolewa katika maisha hutojifunza chochote coz no one is perfect
Mimi sijawahi kukuona siwezi kukupiga mikwara, nakukumbusha tu hali halisi ya sasa. Watanzania tunabakia kuamini sababu za ziada za vifo, hata siku moja mtanzania hafi kifo cha kawaida lazima kuna hadithi ndefu nyuma ya kifo chake. Huu unaitwa umasikini wa mawazo.Peleka mikwara yako huko ulipolalia , hivi Nchi hii kuna kitu kinaitwa ushahidi? Tokea lini ushahidi ukakubalika mbele ya mwenye pesa? Kombe aliuawa kwa kufananishwa na jambazi tena aliinua mikono juu akajitambulisha lakini bado alipigwa shaba, kama unataka Ushahidi nenda nyumbani kwa Nyerere kawaulize ndugu wa Nyerere watakupa picha A-Z . Kisha kautoe unapotaka wewe.