technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Huwa namshangaa sanaJe anaidai serikali? je anaidai ccm? je anawadai watanzania? kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK? Why now? nani yupo nyuma yake? ushuri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko ccm Membe ni kapi.
Je anaidai serikali? Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania? kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK? Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM Membe ni kapi.
Anaamini "ufisadi" ni jambo endelevu na bora kwa wale walio "barikiwa"Je anaidai serikali? Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania? kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK? Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM Membe ni kapi.
Kwani Membe kasema anataka kwenda upinzani?Je anaidai serikali? Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania? kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK? Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM Membe ni kapi.
Ukiona huna akili ya kupinga mambo wewe ni Bora twende ichunguze akili yako. Membe ana hakizote za kugombea na anafaa hapa ni mwendo wa kimya kimyaJe anaidai serikali? Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania? kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK? Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM Membe ni kapi.
Mtoa mada anaamini Membe atagombea urais kupitia ACT Wazalendo ndio maana anawashambulia sana Membe na Zitto.Kwani Membe kasema anataka kwenda upinzani?
Mihela ya Gadafi ipotee hivhivi!! Hawezi kuiachiaJe anaidai serikali? Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania? kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK? Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM Membe ni kapi.
hana lolote ni uchu tu wa madarakaJe anaidai serikali?
Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania?
kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK?
Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM
Membe ni kapi.
Nadhan jibu lake litakuwa kama wanasiasa wengine, atakuambia nafasi aliyokuwa nayo haikumpa nafasai ya kufanya vitu vingi kwa Taifa, kwa hyo kuwa Rais atatimiza malengo yakeJe anaidai serikali?
Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania?
kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK?
Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM
Membe ni kapi.
Camirius Membe kafanyaje tena?
Hata akitaka kugombea kupitia ACT Wazalendo, hiyo ni haki yake ya kikatiba kama Mtanzania.Mtoa mada anaamini Membe atagombea urais kupitia ACT Wazalendo ndio maana anawashambulia sana Membe na Zitto.
Sent using Jamii Forums mobile app