Najua bwana mdogo umekuwa excited kutoka nje ya Tanzania kwa mara ya kwanza, lakini usije na papara. Soma upate knowledge, usijifanye unajua kila kitu. Kuongea na watu vizuri ndio unajenga uhusiano, you never know nani anaweza kusaidia.
Najua bwana mdogo umekuwa excited kutoka nje ya Tanzania kwa mara ya kwanza, lakini usije na papara. Soma upate knowledge, usijifanye unajua kila kitu. Kuongea na watu vizuri ndio unajenga uhusiano, you never know nani anaweza kusaidia.
Yani tz ikemee north Korea,Stupidity things........
hawa jamaa ni wapuuzi sana sijui ni kwanini dunia inawaogopa sana .....
Nitashangaa sana endapo atutawakemea Kwa hili......
Ili iweje mkuu? Kwa manufaa gani?binafsi napendekeza hata ndege za North Korea zitumie bendera ya Tanzania.
Sasa ina manufaa gani kwa nchi yetu?Ukiomba orodha ya Meli zilizosajiliwa Tanzania utashangaa maana orodha ni ndefu ila hizo meli nyingine hazijawahi hata kufika Pwani ya Afrika Mashariki.
Wahusika wakuu ni hawa wanaoitwa
Tanzania Zanzibar International Register of Ships (TZIRS).
Hawa wameshasajili meli zaidi ya mia 400 kwa makaratasi tu.
Ni kichaka cha ulaji .
Jamaa hapigi push up ni mbaya wa Karatee nawashauri watanzania wenzangu tuwe wapole tu , huyo bwana mdogo ni hatareee.