Meli za Korea Kaskazini zatumia bendera ya Tanzania

Tumeshiriki!!?
Unauhakika gani
Tumeshiriki kikamilifu kwani our notorious agent kule Dubai kapewa ruhusa na desk officer wa wizara ya mambo ya nje(mlungula possibly kapata). Hapa Rais atalala mbele na desk officers wa mambo ya nje au balozi/waziri mwenyewe - accountability. Ukisikia notorious agent yaani wakala wetu ni mzoeevu na siyo mara ya kwanza kuruhusua kinyemela hayo kwani aliwapa ruhusa/kibali Waajemi(Iranians) wakati walipokuwa kwenye vikwazo kama North Korea!!!!!!!!! hapa kazi tu!
 
Duh! Hii Kali sasa ni sawa na scopion mtoa macho umemkuta chumban na mke wako anamkaza halafu mke wako analia umsaidie
 
habari bila picha i sawa na kumchoma sindano mdoli
pic+north+korea+ship.gif

If only seeing was believing...!
Concern as N. Korean ships fly TZ flag
 
Kwani kuna shida hata hile bomu lao la nyuklia waliwekee bendela ya tz tanzania haiwezi ikawekewa saction kitoto hivyo
 
Hizi meli nahisi zitakuwa zimepata usajili wa Tanzania kupitia vile Visiwa vyetu tunavyoving'ang'ani kwa visingizo vya kuenzi muungano.Korea kama Korea haiwezi kutumia bendera ya Tanzania pasipo kupewa usajili.
Mkuu vile visiwa havitumii ya tanganyika
 
.. wakati huu makombora Ya rockets hayapo precise sana kihivyo, lazima error itatokea kwa vile yametengenezwa na binaadamu,
Fafanua. Ukifanya maombi ndio utashushiwa precise rockets, au? Wewe unakaa sayari gani, maana kila mtu duniani anajua kuwa Wamarekani na Warusi wanarusha rockets zinakwenda outer space toka miaka ya hamsini huko. Wamarekani walifika mwezini mwaka 1969. Wajerumani walikuwa walikuwa wanarusha conventional rockets zina-bomb London toka Vita Vikuu vya Pili, na hizo zlikuwa enzi za analog.

ndo maana kwenye physics tukawa tunasomeshwa error and precise,
Hiyo phyics umesoma shuleni au kijiweni?

mfano mfupi hizi Ndege zisizokuwa na rubani ni failure kwa sababu ni non - target,
What on earth does that even mean?

hata hivyo urusi ana miji kidogo tu Ya kiuchumi ukilinganisha na US ambao almost Ya city zao ni miji Ya kiuchumi ukiangalia mbali Washington DC and New York city
Hivi unaelewa hata fundamentals of military doctrine, au ndiyo yale yale ya Sadam Hussein ya "mother of all battles"?
Sema nikuweleweshe, sema sijafahamu kama muungwana, sio kusema hayo unayoyasema
Mwungana anatoa hoja iliyo na kichwa na miguu. Nchi nyingine ukianza kuongea kama hivyo, jamaa wanakuona umelewa madawa au unahitaji psychological evaluation. Unaweza ukakatwa ngwala, ukafungwa strait-jacket ukapelekwa msobe msobe Mirembe.

Mimi mwenyewe naona aibu kwa nini nimekuwa side-tracked by inane discussion kwa sababu mada inazungumzia meli za North Korea kupepea bendera ya Tanzania. Tujaribu kurudi huko.
 
Sasa unadhani hata kama Tz tungesema tunkataa NK kuwekewa vikwazo unadhani nani angetusikia.? Hatuna ubabe huo ndo maana kila kinachosemwa Sisi Huitikia NDIOOOOO
Tunapata kura moja tu Umoja wa Mataifa kama nchi nyingine. Kwa sababu hatuna nguvu za kiuchumi au kijeshi, hatuna uwezo wa ku-veto maazimio ya UN kama nchi ambazo ni permanent members of Security Council.
 
Hiv mkuu hta ingelikuwa ni ww ungelikubali kuviacha visiwa vikaunganishwe n oman(maalim seif) wkt mwalm altumia akili pana kuvipata kiulain pasip nguvu,watu wanahahaa kujiongezea maeneo ya nchi yao iwe kubw alafu we umeipata unaachia,kuviachia visiw tutachekwa na kila nchi na heshima yetu itapungua,vsiwa vitalindwa kwa nguvu zoote kulinda kwa siasa ikishndkana vitalindwa kwa mtutu ova
Kwani dhambi kama wenyewe wanataka wawe chini ya Oman? Mayotte iliamua kubaki chini ya himaya ya Ufaransa wakati visiwa vingine vikadai uhuru. Sasa mjanja nani hapa? Comoros wamechacha wakati wenzao ni wanachama wa EU.
 
Fafanua. Ukifanya maombi ndio utashushiwa precise rockets, au? Wewe unakaa sayari gani, maana kila mtu duniani anajua kuwa Wamarekani na Warusi wanarusha rockets zinakwenda outer space toka miaka ya hamsini huko. Wamarekani walifika mwezini mwaka 1969. Wajerumani walikuwa walikuwa wanarusha conventional rockets zina-bomb London toka Vita Vikuu vya Pili, na hizo zlikuwa enzi za analog.


Hiyo phyics umesoma shuleni au kijiweni?


What on earth does that even mean?


Hivi unaelewa hata fundamentals of military doctrine, au ndiyo yale yale ya Sadam Hussein ya "mother of all battles"?

Mwungana anatoa hoja iliyo na kichwa na miguu. Nchi nyingine ukianza kuongea kama hivyo, jamaa wanakuona umelewa madawa au unahitaji psychological evaluation. Unaweza ukakatwa ngwala, ukafungwa strait-jacket ukapelekwa msobe msobe Mirembe.

Mimi mwenyewe naona aibu kwa nini nimekuwa side-tracked by inane discussion kwa sababu mada inazungumzia meli za North Korea kupepea bendera ya Tanzania. Tujaribu kurudi huko.
Usitukane watu, physics, geo na math nimesoma ndani nje advanced level hapa Tanzania, na degree ninayo chukua ni military engineering huku India kwa hivyo usijione unajua sana bro wakati sio mambo yako, nuclear bomb ni explosion Ya gamma rays sio kitu chengine, ndio maana mashirika Ya kinajimu (astromy association) wanapiga vita dhidi Ya stars wars, kiasi kwamba mataifa Ya nuclear wa najitayarisha navyo
 
Usitukane watu, physics, geo na math nimesoma ndani nje advanced level hapa Tanzania, na degree ninayo chukua ni military engineering huku India kwa hivyo usijione unajua sana bro wakati sio mambo yako, nuclear bomb ni explosion Ya gamma rays sio kitu chengine, ndio maana mashirika Ya kinajimu (astromy association) wanapiga vita dhidi Ya stars wars, kiasi kwamba mataifa Ya nuclear wa najitayarisha navyo
College of Military Engineering, Pune
 
Mkuu vile visiwa vinabendera yake
ndio lakini hawaitumii kwenye mambo yenye risk kama haya, wanachukua bendera ya Muungano.

And mind you, hivi vitu havifanyiki bure, Zanzibar imeshakula mpunga hapo.
 
Usitukane watu, physics, geo na math nimesoma ndani nje advanced level hapa Tanzania, na degree ninayo chukua ni military engineering huku India kwa hivyo usijione unajua sana bro wakati sio mambo yako, nuclear bomb ni explosion Ya gamma rays sio kitu chengine, ndio maana mashirika Ya kinajimu (astromy association) wanapiga vita dhidi Ya stars wars, kiasi kwamba mataifa Ya nuclear wa najitayarisha navyo
Najua bwana mdogo umekuwa excited kutoka nje ya Tanzania kwa mara ya kwanza, lakini usije na papara. Soma upate knowledge, usijifanye unajua kila kitu. Kuongea na watu vizuri ndio unajenga uhusiano, you never know nani anaweza kukusaidia.
 
Back
Top Bottom