Black zionist wa kwa mpalange wamekula nduki dunia hii siyo ya kukariri huku china kule urusi mara iran hapo kiduku anawapiga chabo
Kufananisha kuungua kwa meli kufannisha na bodaboda nao ni utindio wa ubongohawa waarabu na wapersia ni hovyo kabisa yaani mtu anakuulia watu wako halafu wewe unaenda kulipiza kwa kuichoma bodaboda yake aliyompa kijana awe anamletea hesabu!
#Iraq #UShawa waarabu na wapersia ni hovyo kabisa yaani mtu anakuulia watu wako halafu wewe unaenda kulipiza kwa kuichoma bodaboda yake aliyompa kijana awe anamletea hesabu!
Nyie ndo mnaongoza kupumuliwa... Wazee wa kujilipua.... Wazee wa kujifunga mabomu viunoni....