Meli inayopeperusha bendera ya Tanzania yakamatwa Ugiriki ikiwa na Silaha, Vifaa vya Milipuko

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,583
6,633
meli.jpg

Serikali nchini Ugiriki imeikamata meli yenye usajili wa Tanzania, eneo la Crete nchini humo jana Jumatano, ikiwa na shehena ya kutengeneza silaha za milipuko

Shehena hiyo ilichukuliwa nchini Uturuki, na ilikuwa ikipelekwa Misrata, Libya.

Umoja wa Ulaya na Umoja wa Mataifa uliweka vikwazo vinavyozuia kuuza, kupeleka au kusambaza silaha Libya tangu mwaka 2011

Nyaraka zilizkuwa kwenye meli hiyo zilionyesha mzigo huo ulipakiwa kwenye bandari za Uturuki za Mersin na Iskenderum na safari yake ilikuwa iishie Djibouti na Oman.

Lakini walinzi wa eneo la bahari wakisema uchunguzi wa awali umeonyesha nahodha wa meli hiyo alikuwa ameagizwa na wamiliki wa meli hiyo kwenda mji wa Misrata kupeleka na kupakuwa mzigo wote

Ramani za kwenda Djibout na Oman hazikukutwa kwenye kitabu cha meli hiyo

Watu nane waliokuwepo kwenye meli hiyo wamekamatwa na watapelekwa mahakamani leo Alhamisi
=======

Jan 10, 2018

Greek authorities have seized a Tanzanian-flagged ship heading for Libya and carrying materials used to make explosives, the coastguard said on Wednesday.

The vessel was detected sailing near the Greek island of Crete on Saturday. Authorities found 29 containers carrying materials including ammonium nitrate, non-electric detonators and 11 empty liquefied petroleum gas tanks.

“The materials were headed to Libya,” Rear Admiral Ioannis Argiriou told reporters. He said the material could be used “for all sorts of work, from work in quarries to making bombs and acts of terrorism”.

European Union and United Nations-imposed arms embargoes have prohibited the sale, supply or transfer of arms to Libya since 2011.

According to the ship’s bill of lading, the cargo had been loaded in the Turkish ports of Mersin and Iskenderum and was destined for Djibouti and Oman.

But the coastguard said a preliminary investigation found the captain had been ordered by the vessel’s owner to sail to the Libyan city of Misrata to unload and deliver the entire cargo.

No shipping maps were found on the ship’s logbook for the Djibouti and Oman areas, the coastguard said.

The eight-member crew has been arrested and will appear before a prosecutor on Thursday.

Source: Greece seizes Libya-bound ship carrying explosive materials
 
Tanzania imekua kichaka kwa bendera yake kutumika kwa magendo....

Hili linabidi likemewe hadharani... nyuma hapo korea kasikazini ilikua inatumia bendera yetu kufanya magendo.... je ni nchi ngapi zinafanya hivi na kwa nini bendera yetu na sajili zetu?
 
inabidi hawa washenzi tuwape fundisho nikuwapiga fain kubwa wamiliki wa hiyo meli ili iwe fundisho kwa mbwa wengine wanao chafua Tanzania yangu
I wonder viongozi wetu huwa wanatoa tamko la kukanusha tu kisha mambo yanaishia hapo
ni kuwatwanga faini yenye uzito sawa na bei ya meli kisha wakishindwa kuitoa tunakamata hiyo meli manina zao
 
Back
Top Bottom