Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,583
- 6,633
Serikali nchini Ugiriki imeikamata meli yenye usajili wa Tanzania, eneo la Crete nchini humo jana Jumatano, ikiwa na shehena ya kutengeneza silaha za milipuko
Shehena hiyo ilichukuliwa nchini Uturuki, na ilikuwa ikipelekwa Misrata, Libya.
Umoja wa Ulaya na Umoja wa Mataifa uliweka vikwazo vinavyozuia kuuza, kupeleka au kusambaza silaha Libya tangu mwaka 2011
Nyaraka zilizkuwa kwenye meli hiyo zilionyesha mzigo huo ulipakiwa kwenye bandari za Uturuki za Mersin na Iskenderum na safari yake ilikuwa iishie Djibouti na Oman.
Lakini walinzi wa eneo la bahari wakisema uchunguzi wa awali umeonyesha nahodha wa meli hiyo alikuwa ameagizwa na wamiliki wa meli hiyo kwenda mji wa Misrata kupeleka na kupakuwa mzigo wote
Ramani za kwenda Djibout na Oman hazikukutwa kwenye kitabu cha meli hiyo
Watu nane waliokuwepo kwenye meli hiyo wamekamatwa na watapelekwa mahakamani leo Alhamisi
=======
Jan 10, 2018
Greek authorities have seized a Tanzanian-flagged ship heading for Libya and carrying materials used to make explosives, the coastguard said on Wednesday.
The vessel was detected sailing near the Greek island of Crete on Saturday. Authorities found 29 containers carrying materials including ammonium nitrate, non-electric detonators and 11 empty liquefied petroleum gas tanks.
“The materials were headed to Libya,” Rear Admiral Ioannis Argiriou told reporters. He said the material could be used “for all sorts of work, from work in quarries to making bombs and acts of terrorism”.
European Union and United Nations-imposed arms embargoes have prohibited the sale, supply or transfer of arms to Libya since 2011.
According to the ship’s bill of lading, the cargo had been loaded in the Turkish ports of Mersin and Iskenderum and was destined for Djibouti and Oman.
But the coastguard said a preliminary investigation found the captain had been ordered by the vessel’s owner to sail to the Libyan city of Misrata to unload and deliver the entire cargo.
No shipping maps were found on the ship’s logbook for the Djibouti and Oman areas, the coastguard said.
The eight-member crew has been arrested and will appear before a prosecutor on Thursday.
Source: Greece seizes Libya-bound ship carrying explosive materials