mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 82,236
- 109,045
Hahaha dah kweli!nakuonea bure TU mumy.....vp kwema lknEeeeh
We mrangi huchoki kunisukuma nisipo!?
Ova
Hahaha dah kweli!nakuonea bure TU mumy.....vp kwema lknEeeeh
We mrangi huchoki kunisukuma nisipo!?
Wewe hujui mambo ya "international shipping rules"., omba uelimishwe.Bendera ndo ina miliki meli?
Unammuliza nani..Kunani na hizi meli zinazopeperusha bendera yetu!?
Hakuna mamlaka husika ya kutujuza au mpaka wakanate kumi ndio watatutaarifu nini haswa kinaendelea? Pia hizo meli inakuwaje!!!.. nani anataka ichafua nchi yetu?
Na dili la kununua wapinzani wamuachie naniSerikali iangalie upya hizi meli zinazosajiliwa kwenye nchi yetu
Litatugharimu baadae tusipoliangalia hili jambo kwa umakini na kulipatia ufumbuzi
Kwa hyo ni meli ya TanzaniaWewe hujui mambo ya "international shipping rules"., omba uelimishwe.
Hatua hizi za kuchukua kimyakimya nazo zina madhara yake ya either unafunika kombe mwanaharamu apite au unamlinda mwenye mzigo! Mawaziri husika waitishe press conference kusafisha hali hii na kuwa wazi juu ya hatua watakazozichukua au walizokwisha kuzichukua. Ipo siku meli za mafuta na bidhaa nyingine zitazuiliwa kutia nanga hapa kwetu kwa hofu ya kupakia au kupakua mizigo ya hatari na nchi ikapata uhaba wa bidhaa usiokuwa wa lazima!This is a clear sign that something negative is happening in our shipping industry ...
Wepesi na ufanisi unahitajika kwenye kutatua hili la meli zilizokamatwa zenye mizigo hatarishi alafu our national flag ikiwa inapeperushwa na hizo meli nchi za wengine