Jamani kwa taa rifa tu inmeiona kwa macho yangu meli inaungua hapa bandarini.inasemekana jamaa walikuwa wanaifanyia maintanance,ni ya mizigo.kwa jinsi ilivyochoka itakuwa ni ya kibongo tu,jina sikuweza kupata ila taarifa zaidi baadae
nimeiona MV alina (ile pantoni ya kigamboni) na meli nyingine tatu za uokoaji, zikiwamo mbili ambazo ni zimamoto zikiendelea na juhudi za kuukabili moto huo na wanaonekana kufanikiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.