Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,901
- 93,661
Iboreshwe vizuriUjio wa meli hii tayari umethibitisha hilo
Iboreshwe vizuriUjio wa meli hii tayari umethibitisha hilo
Kuna msemo unasema if ur still alive u can be a King,Ngoja nami nijaribu kumfukuzia
Hahaa wakina lulu na wema hajapata fursa ya kukutana nae mbona atashaaDangote noumaa
Mhhh huyu dangote
Weee nawe peleka udini kule sheikh my footHuyu sheikh sio mtu wa mchezo mchezo
Wale matajiri tuliowadhania nanii na wengine wakatuambia wanatumia hela za babu bado za kwao kumbe kodi zetu hawalipi na majumba mengine wakapigia maselfie na kupangisha kumbe sio yao ya mashirika ya umma asante sana Rais Magufuli watakuelewa tuHii njemba ina mawe....mnasemaga bongo kuna matajiri ....hakuna kitu ...akina nanii ni wachuuzi tu.
Haswaaaa.....huu uandishi andikiana na mpenzi wako huku tuko watu wazima kama wazazi wako. Kuwa na adabu na uzingatie uandishi bora.
Ni kweli mkuu na hilo ndo jambo muhimu kwa sasa. Kuushusha huo mzigo Mtwara kumepunguza gharama na usumbufu mwingi iwapo ungeshushwa bandari ya Dar then upelekwe Mtwara kwa njia ya barabaraIboreshwe vizuri
Well said mkuu. Naanzia hapa leo nitaleta mrejesho siku moja.Kuna msemo unasema if ur still alive u can be a King,
Binadamu hutakiwi kukata tamaa tu,kila kitu kinawezekana.
Vipi mkuu umeshaanza upembuzi yakinifu?Chini ya jua kila kitu kinawezekana.
Hata mimi nipo kwenye mchakato.
Pamoja tunajenga Tanzania yetuNi kweli mkuu na hilo ndo jambo muhimu kwa sasa. Kuushusha huo mzigo Mtwara kumepunguza gharama na usumbufu mwingi iwapo ungeshushwa bandari ya Dar then upelekwe Mtwara kwa njia ya barabara
Nikutakie kila la kheri MkuuWell said mkuu. Naanzia hapa leo nitaleta mrejesho siku moja.
Kila kitu siasa tuWakati anaongea na waandishi wa habari yeye pamoja na Mheshimiwa Rais wamezungumzia ujio wa Malori. Lakini Dangote kwa maneno yake amesema wanaleta magari mapya kabisa 600 na yamesha anza kuingia.
Baada ya kufautilia nimekuta kunapicha zinasambaa juu ya ujio wa hayo malori. Angalia picha hii kama kweli haya malori ni mapya, yanavo onekana yametolewa sehemu nyingine na sio mapya kama yeye alivyo sema..
Kama hili lipo hivi, napata uhakika kwamba mengi yaliyozungumzwa Leo ni siasa zaidi.View attachment 444906
Asante mkuuKatika thread nzima wewe ndio umeandika kitu constructive na chenye tija.
Kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa baada ya mazungumzo ndio malori yakaja?hayo malori yalikuwa Zanzibar?piga hesabu vizuri au nyamaza ndugu.Mbona yule waziri alisema kiwanda kiko kwenye matengenezo na kama ni kweli kwanini kufuli alimwita waka "discuss"???
Kubali mliboronga nyie macccm na baada ya mkulu kukubali yaishe ndio jamaa akaleta hizo contena otherwise mngesikilizia dangote kenya!!!
Wakati anaongea na waandishi wa habari yeye pamoja na Mheshimiwa Rais wamezungumzia ujio wa Malori. Lakini Dangote kwa maneno yake amesema wanaleta magari mapya kabisa 600 na yamesha anza kuingia.
Baada ya kufautilia nimekuta kunapicha zinasambaa juu ya ujio wa hayo malori. Angalia picha hii kama kweli haya malori ni mapya, yanavo onekana yametolewa sehemu nyingine na sio mapya kama yeye alivyo sema..
Kama hili lipo hivi, napata uhakika kwamba mengi yaliyozungumzwa Leo ni siasa zaidi.View attachment 444906
Ulitaka niseme PADRI?Jamaa anaitwa ALHAJI DANGOTEWeee nawe peleka udini kule sheikh my foot
Ghafla from where,Unajua bwana kuna sarakasi nyingine watu wanazifanya mpaka mtu wa pembeni unaona aibu!
Imekuwaje meli ya malori 600 (malori 600! ) imetinga Mtwara kwa ghafla sana? Tena baada ya Aliko Dangote kufanya mazungumzo ikulu?
Sina nia mbaya kabisa na uwekezaji wa Dangote kwani mimi ni miongoni mwa wahandisi wanaofaidika kwa kiasi kikubwa sana na uwekezaji huo na napongeza sana ndugu Dangote kushinda hila (za serikali? ) na hatimaye kurejea tena.
Ninachoongelea hapa ni hili tukio la ghafla sana meli ya malori 600 kutinga Mtwara. Unajua kuna uwezekano mkubwa kuwa sisi watanzania hatuko serious na kuhoji mambo yatokanayo tena kwa kiasi kikubwa zaidi ya kupiga miluzi na makofi kushangilia tukio! Tukienda kwa usanii usanii huu hatutafika kamwe! Ni lazima tujiulize, tuulize na tujibiwe kuwa hayo malori yalikuwa wapi wakati wa mgogoro! Nini hasa ilikuwa mwisho wake na ni ushawishi gani umetumika kuyarejesha Mtwara? Hapo kabla ilikuwaje? Nani alisababisha? Tuache usanii usanii kwenye mambo muhimu!