Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 14,971
- 21,066
Huwa wanatumia njia ya kutupa jiwe gizani.Kwa mfano akahitajika kiofisi, wanampataje?
Hutoa tangazo kwenye notice board zao kwamba anaye mfahamu desh desh amtaarifu kuripoti location flani tarehe flani.
Habari hizo huenea kama moto wa nyika, kama yupo nchini habari lazima azipate tu.
Sasa kwa mtu anayemtafuta personal anaweza akatumia njia hiyo pia, kwa kuripoti kikosi cha jeshi kilichopo karibu naye na kuomba kufahamishwa alipo mtu huyo, kama ni mzazi ama ni mtoto, habari hiyo hupewa kipa umbele.