TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,674
- 1,572
Kila mwaka tarehe 01/05 tunaadhimisha tunayoita ni sikukuu ya wafanyakazi hapa nchini na duniani kwa ujumla.
Lakini uhalisia ni kwamba sikukuu ya wafanyakazi haiendani na uhalisia wa hali ya wafanyakazi hapa nchini, tunatumia gharama kubwa kuandaa sherehe za wafanyakazi, mabonanza na tafrija kedekede utadhani hao wafanyakazi wanaishi maisha ya kifalme.
Wito wangu kwa viongozi wa kisiasa hasa CCM kutotumia siku hii kutimiza matakwa yao ya kisiasa kama vile kujitangazia nia za ubunge na udiwani.
Serikali ya chama cha mapinduzi lazima ifahamu wafanyakazi wa umma wa nchi hii wanaishi maisha ya kitumwa sana, mishahara yao ni midogo sana kiasi kutomudu kuishi vizuri.
Lakini uhalisia ni kwamba sikukuu ya wafanyakazi haiendani na uhalisia wa hali ya wafanyakazi hapa nchini, tunatumia gharama kubwa kuandaa sherehe za wafanyakazi, mabonanza na tafrija kedekede utadhani hao wafanyakazi wanaishi maisha ya kifalme.
Wito wangu kwa viongozi wa kisiasa hasa CCM kutotumia siku hii kutimiza matakwa yao ya kisiasa kama vile kujitangazia nia za ubunge na udiwani.
Serikali ya chama cha mapinduzi lazima ifahamu wafanyakazi wa umma wa nchi hii wanaishi maisha ya kitumwa sana, mishahara yao ni midogo sana kiasi kutomudu kuishi vizuri.