General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,301
- 23,027
Dhana ya utaifa ilisha pitwa na wakati.Fuatilia comments zangu. Siku zote naangalia msingi wa hoja na wala sio chama wala maslahi yangu binafsi. Nipo kati na kati, sina mrengo wa kisiasa. Mimi kwangu taifa kwanza.
Popote duniani, waweza ishi.
Hili mipaka tumejiwekea tu sisi wanadam.
Miradi butu inayoumiza wananchi huku ukiwanyonya wafanyakazi na wananchi vilevile ni kuwatia umasikini na ukilema.
Wewe kama ni mtumishi, utakuwa wapata ziada ya fedha nje ya mshahara, watumishi wanatapika maji.
Wengi ufanisi utapotea, ni kulipua tuuu