hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
hahaaahiyo picha ya kwanza ni baada ya make up au make down?
hahaaahiyo picha ya kwanza ni baada ya make up au make down?
hahahahaha nikajua nimeona pekeangu
kazuri,kwenye simu mchina kafanya yake GNU2MA2-SAMSUNG.
wachina mufwe kwakweli
Kamuharibia sana kipindi, hivi inamaana kweli Ruge halioni hili?Huyi dada kila siku ana mafua...meno yake sasa, utadhani yamepachikwa kwa prize, halafu anaforce comedy...millard ayo anajuta sana sema ndo ivyo
MkorofiHuyi dada kila siku ana mafua...meno yake sasa, utadhani yamepachikwa kwa prize, halafu anaforce comedy...millard ayo anajuta sana sema ndo ivyo
Mimi nampenda sana yule wa ala.za rohoDaaah, huyu dada mpemba ananikosha sana especially sauti yake. Anaitwa Meena Ally ni mtangazaji wa Clouds kipindi cha Amplifaya na kipindi cha Niambie.
Mwenye kujua information zaidi za huyu dada atiririke tafadhali...
Hamna kitu Posh Queen ni tunu ya taifaVipi uko nyuma amefunga funga kama poshy queen
Hamna kitu Posh Queen ni tunu ya taifa