Utakataa tu ukweli, but facts are there to stay. In Africa, Pharmacy inayotumika ni Hospital Pharmacy. Nchi nyingine za Africa kama Nigeria na Afrika Kusini na pia nchi za Ulaya na america washaanza kutengeneza kozi mpya (Pharm D). Sijui ni kuwa too desperate to be identified as a Dr au nini. MD ni Mtu anaefanya Prescription anakupa tu wewe kama mtoa dawa.Master of shit!!! Master kwa manesi ambao hawana la kufanya bila uwepo wenu lkn sio master of pharmacist...
Kujiamin au kutokujiamin ni individual factor huwez kugeneralize maana hata mm nmekutana na MD wasiojaiman lkn siwez kusema MD wote hawajiamin...
Pharmacy iko vr diverse kaz za pharmacist haianzii hospitali na wala haiaiishii hospitali kuanzishwa kwa pharm D ni ili apatikane mfamasia ktk ngaz ya bachelor anayedili na mambo ya clinical tuuu with shallow knowledge kwenye aspect nyingne sasa endelea kujilinganisha na mfamasia wakat wewe nje ya hospitali huna la maana zaid ya illegal abortion...
Kwanza jifunze kuandika vizuri baada ya hapo ndio uchangie mada. Ebo!wandugu heshma yenu...
Hivi kwa m2 anayetaka kusoma medicine inategemea na matokeo yake ya 4m four pia or ni 4m six 2?
Kama yanategemea matokeo ya 4m four kwa m2 mwenye C-Phy C-Chem B-Bios D-Eng F-Math anaweza kwenda medicine kama matokeo yake ya 4m 6 yatakaa vizuri?
Kama haiwezekani kwa tokeo hilo hapo juu ni kwa nini?
Umenena kweli kiongoziAngalia mwenyewe unapenda nini.Na je akili yako itamudu?Ndiyo muhimu kuliko mengine.Watu wa famasi bila shaka watakuvutia upande wao na wa medicine hali kadhalika.Kama utaanza mwaka wa masomo ujao,una miaka minne ya kufanya Pharmacy kama sikosei na mitano ya medicine kwa Tanzania.Hiki ni kipindi kirefu na mabadiliko yanaweza kutokea hapo katikati.Ukifanya kile unachopenda,hutaathirika.
Umetoka nje ya madahawako mbali sana ila MD z somehow ahead japo mi naipenda sana pharmacy than MD...A level nilikuwa CBG now naingia second year may GOD bles me
VIP pharmacy kwa diploma mkuu INA maslai???Umenena kweli kiongozi
Kwa miaka ya nyuma jamaaa ndo maaan unaambiwa mambo yanachangeCBG hasomi MD wadau labda kwa miaka ya nyuma lkn guide book ya tcu MD lazma awe kasoma advanced physics
medicine kiongozi
Mwenyewe nataka nkasome pharmacetical sience. Naipenda saaana toka nko mdogo nkiendaga hospitali nlitamanigi mm,ndo nkae pale nigawe dawa du maaaan nakuwa najua magonjwa yote pamoja na dawa zake kwan skuona utofauti wa MD AND PHARM D naona wako sawa tumedicine kiongozi
famasi ipo vzuri hata kwa diploma
Taratibu utajiendeleza mpaka levo za juufamasi ipo vzuri hata kwa diploma
Kweli mkuu, Mabashite kama hawa wako wengi humu. Sasa tuwachane live bila kuwaonea hayaKwanza jifunze kuandika vizuri baada ya hapo ndio uchangie mada. Ebo!