patrick kalonga
Member
- Jul 26, 2016
- 25
- 8
Plz wakuu binafsi nmechaguliwa ordinary diploma ya pharmancy but mm nilitamani sana nisome clinical medicine lkn baada ya kuomba ushauri kwa watu walionitangulia wakanigusia pia medical labaratory ........sasa plz ndg zangu naomba kama mnaweza kunisaidia juu