Daktari (MD) anahitajika eneo la Kiluvya, preferably ambaye anaishi maeneo ya Kibaha, Kibamba, Kiluvya kwa mawasiliano zaidi piga 0758918144 au tuma application kupitia e-mail jndasika3@gmail.com
Fafanua tangazo lako mkuu, anatakiwa kwa ajili ya majukumu gani.Daktari (MD) anahitajika eneo la Kiluvya, preferably ambaye anaishi maeneo ya Kibaha, Kibamba, Kiluvya kwa mawasiliano zaidi piga 0758918144 au tuma application kupitia e-mail jndasika3@gmail.com
Akipatikana ambaye ni mstaafu itapendeza zaidi,kwa ajili ya kutoa huduma za tibaDaktari (MD) anahitajika eneo la Kiluvya, preferably ambaye anaishi maeneo ya Kibaha, Kibamba, Kiluvya kwa mawasiliano zaidi piga 0758918144 au tuma application kupitia e-mail jndasika3@gmail.com
Unajua maana ya kustaafu. Utaratibu wa kustaafu uliwekwa makusudi kwa sababu kadiri umri wa mtu unavyokwenda na cognitive ability inapungua. Kwanini usichukue damu changa ukawaacha wazee wapumzikeAkipatikana ambaye ni mstaafu itapendeza zaidi,kwa ajili ya kutoa huduma za tiba
Halafu hawa wastaafu wanasimama wanasema vijana hawajitumi hawataki kujiajiriAkipatikana ambaye ni mstaafu itapendeza zaidi,kwa ajili ya kutoa huduma za tiba
Halafu hawa wastaafu wanasimama wanasema vijana hawajitumi hawataki kujiajiri
KWANI KASOMEA NINI? MASWALI MENDINE YANAUDHI ATAKUWA DAKATRI AITWE KUUZA MAFUTA YA TAA AU MBAO?Fafanua tangazo lako mkuu, anatakiwa kwa ajili ya majukumu gani.
Damu changa hawatulii,Unajua maana ya kustaafu. Utaratibu wa kustaafu uliwekwa makusudi kwa sababu kadiri umri wa mtu unavyokwenda na cognitive ability inapungua. Kwanini usichukue damu changa ukawaacha wazee wapumzike
Kwa kuwa hajasema specialist anamaanisha General PractitionerFafanua tangazo lako mkuu, anatakiwa kwa ajili ya majukumu gani.
We ndio mpuuzi na huna exposure......... Medical doctor si kama uhasibu ama engineer, MD anaweza provide medical services ama surgical, anaweza fanya public health issues, anaweza fanya ebtomological and parasitological surveillance, anaweza fanya preventive services, anaweza fanya environmental health services, anaweza fanya reaserch, anaweza kufundisha kwenye ngazi za chini za kozi zingine....... Hujiulizi kwa nini degree ya kwanza anaitwa doctor wakati wengine hadi wa na degree 3 ndio waitwe hivo?.......... Kusema majukumu ya MD ukitangaza kazi ni muhimu.... MD is unclassified universal degreeKWANI KASOMEA NINI? MASWALI MENDINE YANAUDHI ATAKUWA DAKATRI AITWE KUUZA MAFUTA YA TAA AU MBAO?
Hiyo ina kuwa kwenye Job contract na siyo kwenye advertisement.We ndio mpuuzi na huna exposure......... Medical doctor si kama uhasibu ama engineer, MD anaweza provide medical services ama surgical, anaweza fanya public health issues, anaweza fanya ebtomological and parasitological surveillance, anaweza fanya preventive services, anaweza fanya environmental health services, anaweza fanya reaserch, anaweza kufundisha kwenye ngazi za chini za kozi zingine....... Hujiulizi kwa nini degree ya kwanza anaitwa doctor wakati wengine hadi wa na degree 3 ndio waitwe hivo?.......... Kusema majukumu ya MD ukitangaza kazi ni muhimu.... MD is unclassified universal degree
Uanze tu kuulizia job contract wakati hata hiyo kazi yenyewe haijulikani, kwani kuna tatizo gani tangazo likiwa very clear na kuondoa mkanganyiko huu usiokuwa na lazimaHiyo ina kuwa kwenye Job contract na siyo kwenye advertisement.
Kazi aliyoitangaza inamfaa mtu mwenye sifa za MD anyejiona ana sifa hizo atakwenda na ataambiwa unatakiwa kufanya moja mbili tatu ambayo yote yamo ndani ya sifa za MD sasa hayo unayoyataka labda kama una mashaka na Elimu yako pia kumbuka tangazo linachajiwa kutokana na maneno uliyoaandika key point noted.Uanze tu kuulizia job contract wakati hata hiyo kazi yenyewe haijulikani, kwani kuna tatizo gani tangazo likiwa very clear na kuondoa mkanganyiko huu usiokuwa na lazima
Md kazi yake ni kutibu ndicho alichosomea...huko kwingine ni kulazimisha tu hata kama atafanya basi kwa njaa na ulafi wa hela ila hatokua competent kama angetibu wagonjwa.We ndio mpuuzi na huna exposure......... Medical doctor si kama uhasibu ama engineer, MD anaweza provide medical services ama surgical, anaweza fanya public health issues, anaweza fanya ebtomological and parasitological surveillance, anaweza fanya preventive services, anaweza fanya environmental health services, anaweza fanya reaserch, anaweza kufundisha kwenye ngazi za chini za kozi zingine....... Hujiulizi kwa nini degree ya kwanza anaitwa doctor wakati wengine hadi wa na degree 3 ndio waitwe hivo?.......... Kusema majukumu ya MD ukitangaza kazi ni muhimu.... MD is unclassified universal degree