Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Nimetoka kuzungumza sasa hivi na Mgombea wa Ubunge jimbo la Vunjo kwa tiketi ya TLP Bw. Augustine Mrema ambaye amepinga vikali uvumi ulionezwa tangu jana jioni kuwa ameamua kuachia ngazi kwenye kinyang'anyiro hicho. Amesema kauli hizo ni mchezo mchafu tu wa kisiasa.
Kwa hiyo habari za kuwa Mrema amejiuzulu hazina ukweli wowote. Anawataka mashabiki wake na wapenzi kuendelea kumuunga mkono kwani bado hajasalimu amri na hana mpango huo.
Kwa hiyo habari za kuwa Mrema amejiuzulu hazina ukweli wowote. Anawataka mashabiki wake na wapenzi kuendelea kumuunga mkono kwani bado hajasalimu amri na hana mpango huo.