Media uchwara za bongo

Media uchwara za bongo

Koffi Annan

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2018
Posts
2,258
Reaction score
6,694
Tusiwaseme sana, hao ni watanzania ndugu zetu tunaishi nao, huyo millard angekua kaka yako ungemshauri vipi? Hii ni kazi yetu sote, hao watu maarufu na media ni wachache kuliko sisi, kila mtu angepaza sauti hapo nyuma tusingefika huku,
Tatizo ni kwamba wote tumenyamazishwa midomo na wachache wanaojilipua wanaishia pabaya na hiyo ni guarantee.
 
Back
Top Bottom