Media ni platforms ambayo inaweza kukuza ama kubomoa na kuleta majanga

Media ni platforms ambayo inaweza kukuza ama kubomoa na kuleta majanga

Msakuzi Ad

Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
27
Reaction score
25
Sasa Hivi SAJENTI anaomba kukutanishwa Na PATENI, Hata kama walikuwa na kutoelewana ila kwa namna moja ama nyingine Media zinachochea ugomvi wa hawa madogo.
Hawana experience ya kuhojiwa kila watakachoulizwa hata kma ni chonganishi wanajibu bila kufikiria swali lina maanisha nini.
 
Kipa wa Arsenal alichomoa michomo hatari
 
Sasa Hivi SAJENTI anaomba kukutanishwa Na PATENI, Hata kama walikuwa na kutoelewana ila kwa namna moja ama nyingine Media zinachochea ugomvi wa hawa madogo.
Hawana experience ya kuhojiwa kila watakachoulizwa hata kma ni chonganishi wanajibu bila kufikiria swali lina maanisha nini.
experience ya kuhojiwa ndo nini: inapatikanaje?
 
Wakipata wapate pesa wafanye bifu biashara watateka akili zawabongo
 
Hawa waimba singeli wote wanatakiwa wampe maua yake MSAGA SUMU. Huyu mwamba ndio kaitambulisha hii vibe mpaka watu wakaelewa
 
Back
Top Bottom