Mecky sadiki ataka wazawa kujenga viwanda mkoni kwako zaidi

Super Don

JF-Expert Member
Dec 10, 2016
1,978
1,780
Mkuu wa mkoa wa kilimanjoro amewataka wazaliwa wa mkoa huo kuwekeza kwenye mkoa wao hasa kwenye secta ya viwanda maana wana fedha nyingi kuliko kuwekeza zaidi mikoa mingine aliongea hayo kwenye hotuba yake kwenye sherehe za mei mosi kitaifa zilizofanyika mkoni hapo.
 
Back
Top Bottom