Meck Sadick Mkuu wa mkoa anayeelewa asili ya mkoa wa Kilimanjaro

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,300
23,022
Naam!!
Katika wakuu wa mikoa ambao wanafanya kazi yao kwa utukufu uliotukuka ni Meck Sadick, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Huwezi sikia matamko ya hovyohovyo katika mkoa huu, huwezi sikia jambajamba za ajabu kama za wakuu wa mikoa mingine.

Meck Sadik anaelewa asili ya watu wa hapa, anaelewa jeuri yao. Kwa kulitambua hilo anatumia busara ya hali ya juu kuongoza mkoa huu.

Sasa KLM inaimarika kiuchumi, jiji lazidi kupendeza kwa usafi na nidhamu ya hali ya juu.

Hali ya hapa imetulia sasa, huwezi kuta vurugu za machinga na police, huwezi kuta matamko ya ajabu ya RPC au Sadick mwenyewe kuzuia maandamano (UKUTA).


RC na RPC wanaelewa watu wa hapa, wanatambua kwamba wanaishi na watu wenye uelewa na uwezo wa hali ya juu kuamua kufanya mambo yao.

Posho za madiwani wa Chadema nasikia ni 120,000 kama zile za Arusha lakini huwezi ona vurugu za Rc au DC akipambana na madiwani wa Manispaa.

Meya wa Moshi,Mkuu wa mkoa na mkurugenzi they work as a team, wana heshimiana kwa kutambua mipaka ya mwenzake, wanaongoza kwa katiba na sheria ya manispaa yetu.

Nawapongeza sana kwa kuufanya mkoa huu kuwa imara, mkoa usiopelekeshwa na kauli za uchwara kama nani hii.
Maandalizi ya UKUTA yanaendelea vizuri.

Karibuni KILIMANJARO.
 
Naam!!
Katika wakuu wa mikoa ambao wanafanya kazi yao kwa utukufu uliotukuka ni Meck Sadick, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Huwezi sikia matamko ya hovyohovyo katika mkoa huu, huwezi sikia jambajamba za ajabu kama za wakuu wa mikoa mingine.

Meck Sadik anaelewa asili ya watu wa hapa, anaelewa jeuri yao. Kwa kulitambua hilo anatumia busara ya hali ya juu kuongoza mkoa huu.

Sasa KLM inaimarika kiuchumi, jiji lazidi kupendeza kwa usafi na nidhamu ya hali ya juu.

Hali ya hapa imetulia sasa, huwezi kuta vurugu za machinga na police, huwezi kuta matamko ya ajabu ya RPC au Sadick mwenyewe kuzuia maandamano (UKUTA).


RC na RPC wanaelewa watu wa hapa, wanatambua kwamba wanaishi na watu wenye uelewa na uwezo wa hali ya juu kuamua kufanya mambo yao.

Posho za madiwani wa Chadema nasikia ni 120,000 kama zile za Arusha lakini huwezi ona vurugu za Rc au DC akipambana na madiwani wa Manispaa.

Meya wa Moshi,Mkuu wa mkoa na mkurugenzi they work as a team, wana heshimiana kwa kutambua mipaka ya mwenzake, wanaongoza kwa katiba na sheria ya manispaa yetu.

Nawapongeza sana kwa kuufanya mkoa huu kuwa imara, mkoa usiopelekeshwa na kauli za uchwara kama nani hii.
Maandalizi ya UKUTA yanaendelea vizuri.

Karibuni KILIMANJARO.
Moshi nayo ni jiji? Maajabu! Nimepita hapo naenda Nairobi mji umesinyaa hamna harakati zozote na uliite jiji? Hata kahama imechangamka na inapilika kuliko hapo moshi.
 
Naam!!
Katika wakuu wa mikoa ambao wanafanya kazi yao kwa utukufu uliotukuka ni Meck Sadick, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Huwezi sikia matamko ya hovyohovyo katika mkoa huu, huwezi sikia jambajamba za ajabu kama za wakuu wa mikoa mingine.

Meck Sadik anaelewa asili ya watu wa hapa, anaelewa jeuri yao. Kwa kulitambua hilo anatumia busara ya hali ya juu kuongoza mkoa huu.

Sasa KLM inaimarika kiuchumi, jiji lazidi kupendeza kwa usafi na nidhamu ya hali ya juu.

Hali ya hapa imetulia sasa, huwezi kuta vurugu za machinga na police, huwezi kuta matamko ya ajabu ya RPC au Sadick mwenyewe kuzuia maandamano (UKUTA).


RC na RPC wanaelewa watu wa hapa, wanatambua kwamba wanaishi na watu wenye uelewa na uwezo wa hali ya juu kuamua kufanya mambo yao.

Posho za madiwani wa Chadema nasikia ni 120,000 kama zile za Arusha lakini huwezi ona vurugu za Rc au DC akipambana na madiwani wa Manispaa.

Meya wa Moshi,Mkuu wa mkoa na mkurugenzi they work as a team, wana heshimiana kwa kutambua mipaka ya mwenzake, wanaongoza kwa katiba na sheria ya manispaa yetu.

Nawapongeza sana kwa kuufanya mkoa huu kuwa imara, mkoa usiopelekeshwa na kauli za uchwara kama nani hii.
Maandalizi ya UKUTA yanaendelea vizuri.

Karibuni KILIMANJARO.
Hata kuitwa manispaa naona wameipendelea tu
 
Moshi nayo ni jiji? Maajabu! Nimepita hapo naenda Nairobi mji umesinyaa hamna harakati zozote na uliite jiji? Hata kahama imechangamka na inapilika kuliko hapo moshi.
mkuu mji wa moshi umepangika, sio kila sehemu unafanya biashara, kuna masoko yaliotengwa kwa biashara.
kama ulifikiri huu mji ni kama uliyo zoea basi polee
Karibu tena mkuu nikutembeze moshi
 
Hata kuitwa manispaa naona wameipendelea tu
Waulize TRA wakueleweshe vizuri..

Kinachoibana KLM ni ardhi ndogo lakini miundombinu huwezi fananisha hata uliko zoea, ni mkoa ambao sijawahi ona vichochoro
 
Umepangika? Nimetembea less than 7 kilometer nshatoka nje ya mji. Nimeona moshi labda huo usafi, hamna pilika za kiuchumi hapo, hauwezi linganisha na sifa ya jiji lolote ni pilika pilika za kiuchumi
mkuu mji wa moshi umepangika, sio kila sehemu unafanya biashara, kuna masoko yaliotengwa kwa biashara.
kama ulifikiri huu mji ni kama uliyo zoea basi polee
Karibu tena mkuu nikutembeze moshi
 
Umepangika? Nimetembea less than 7 kilometer nshatoka nje ya mji. Nimeona moshi labda huo usafi, hamna pilika za kiuchumi hapo, hauwezi linganisha na sifa ya jiji lolote ni pilika pilika za kiuchumi
Watu wa mkoa huu ni wastaarabu, wanaheshimu sheria za manispaa. Kuna masoko zaidi ya 5 makubwa hasa kwa nini watu watandaze mitumba barabarani?

Alafu uelewe kwamba asili ya wamachinga sio huku, huku tunafanya biashara ki profeshnoo sio kama ulizo zoea huko kwenu
 
Naam!!
Katika wakuu wa mikoa ambao wanafanya kazi yao kwa utukufu uliotukuka ni Meck Sadick, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Huwezi sikia matamko ya hovyohovyo katika mkoa huu, huwezi sikia jambajamba za ajabu kama za wakuu wa mikoa mingine.

Meck Sadik anaelewa asili ya watu wa hapa, anaelewa jeuri yao. Kwa kulitambua hilo anatumia busara ya hali ya juu kuongoza mkoa huu.

Sasa KLM inaimarika kiuchumi, jiji lazidi kupendeza kwa usafi na nidhamu ya hali ya juu.

Hali ya hapa imetulia sasa, huwezi kuta vurugu za machinga na police, huwezi kuta matamko ya ajabu ya RPC au Sadick mwenyewe kuzuia maandamano (UKUTA).


RC na RPC wanaelewa watu wa hapa, wanatambua kwamba wanaishi na watu wenye uelewa na uwezo wa hali ya juu kuamua kufanya mambo yao.

Posho za madiwani wa Chadema nasikia ni 120,000 kama zile za Arusha lakini huwezi ona vurugu za Rc au DC akipambana na madiwani wa Manispaa.

Meya wa Moshi,Mkuu wa mkoa na mkurugenzi they work as a team, wana heshimiana kwa kutambua mipaka ya mwenzake, wanaongoza kwa katiba na sheria ya manispaa yetu.

Nawapongeza sana kwa kuufanya mkoa huu kuwa imara, mkoa usiopelekeshwa na kauli za uchwara kama nani hii.
Maandalizi ya UKUTA yanaendelea vizuri.

Karibuni KILIMANJARO.
Watu wa mkoa huu ni wastaarabu, wanaheshimu sheria za manispaa. Kuna masoko zaidi ya 5 makubwa hasa kwa nini watu watandaze mitumba barabarani?

Alafu uelewe kwamba asili ya wamachinga sio huku, huku tunafanya biashara ki profeshnoo sio kama ulizo zoea huko kwenu
Utakufa na kijiba cha roho.Wewe sema ulitaka tujue umeenda Mombasa kupitia Nairobi.
Moshi nayo ni jiji? Maajabu! Nimepita hapo naenda Nairobi mji umesinyaa hamna harakati zozote na uliite jiji? Hata kahama imechangamka na inapilika kuliko hapo moshi.

KIla mtu hujivunia kwao lakini naomba tusaidiane na kujikosoa kama Manelezu alivyojaribu.
Miji yote hapa TZ iko hoi tu hata kama mtu atajidai kujivunia moshi yake ni kutofahamu maana ya miji. Huwa nashangaa kusikia Dar inaitwa 'Jiji' nimewahi kuwauliza hapa Jiji gani watu wanaamushwa na kuku wanaowika? tena mitaa ya samora! Unalala New Africa Hotel kwa dola 120, asubuhi unastuliwa na kuku anayewika nyumba ya jirani! Hii yote ni kama vijiji vikubwa tu. Eti kukiwa na rami na watu milioni kadhaa, wanaita jiji! Dah! Watu bila miundombinu!

Tatizo la Moshi ni kukosa business za maana. Kila duka ni vifaa vya ujenzi, basi! Hiyo inatokana na Ukabila na hilo wana Moshi lazima walielewe. Biashara hapo inafanyika kwa kiasi kikubwa kwa kuedekeza ukabila na ki-wilaya. Rombo wana maduka yao na wateja wao mjini. Marangu, kibosho, .... ni hivyo hivyo! Waliostuka wamehamia Arusha na kuiacha Moshi yao. Barabara za rami ni mbili na ya tatu ni hiyo iendayo Arusha.

Nenda kwenye uongozi. Kwa jiji tulitegemea liwe cosmopolitan. Hutakuta diwani wala mbunge wa kabila jingine. Kwa hiyo mijadala inaweza endeshwa kwa kichagga, experience na mifano ni ya kichagga, miradi itapangwa kichagga, nk. Moshi wanahitaji kujichanganya ili wasikie lugha zingine na kufikiri tofauti na kichagga. Wakiona vijana wanakunywa gongo sana, wataweza kueleza na kutatua kwa mifano ya kwingineko badala ya kuona ni mkosi unaotakiwa kukemewa kanisani na padre ambaye pia ni mchagga!

Hiyo hali iliwaangusha watu wa Bukoba. Nenda mji wa Bukoba uone ulivyo hoi pamoja na kwamba uko kwenye crossings za Rwanda-Burundi-Uganda. Very strategic location! Lakini ilikuwa ni Uhaya, uhaya hata mkuu wa mkoa walitamani awe Muhaya. Kabila jingine ulikuwa ukipangiwa kule, ujue ni kutengwa kisawasawa!

Miji inayoendelea lazima ijichanganye. Hamtaki! Poleni!
 
KIla mtu hujivunia kwao lakini naomba tusaidiane na kujikosoa kama Manelezu alivyojaribu.
Miji yote hapa TZ iko hoi tu hata kama mtu atajidai kujivunia moshi yake ni kutofahamu maana ya miji. Huwa nashangaa kusikia Dar inaitwa 'Jiji' nimewahi kuwauliza hapa Jiji gani watu wanaamushwa na kuku wanaowika? tena mitaa ya samora! Unalala New Africa Hotel kwa dola 120, asubuhi unastuliwa na kuku anayewika nyumba ya jirani! Hii yote ni kama vijiji vikubwa tu. Eti kukiwa na rami na watu milioni kadhaa, wanaita jiji! Dah! Watu bila miundombinu!

Tatizo la Moshi ni kukosa business za maana. Kila duka ni vifaa vya ujenzi, basi! Hiyo inatokana na Ukabila na hilo wana Moshi lazima walielewe. Biashara hapo inafanyika kwa kiasi kikubwa kwa kuedekeza ukabila na ki-wilaya. Rombo wana maduka yao na wateja wao mjini. Marangu, kibosho, .... ni hivyo hivyo! Waliostuka wamehamia Arusha na kuiacha Moshi yao. Barabara za rami ni mbili na ya tatu ni hiyo iendayo Arusha.

Nenda kwenye uongozi. Kwa jiji tulitegemea liwe cosmopolitan. Hutakuta diwani wala mbunge wa kabila jingine. Kwa hiyo mijadala inaweza endeshwa kwa kichagga, experience na mifano ni ya kichagga, miradi itapangwa kichagga, nk. Moshi wanahitaji kujichanganya ili wasikie lugha zingine na kufikiri tofauti na kichagga. Wakiona vijana wanakunywa gongo sana, wataweza kueleza na kutatua kwa mifano ya kwingineko badala ya kuona ni mkosi unaotakiwa kukemewa kanisani na padre ambaye pia ni mchagga!

Hiyo hali iliwaangusha watu wa Bukoba. Nenda mji wa Bukoba uone ulivyo hoi pamoja na kwamba uko kwenye crossings za Rwanda-Burundi-Uganda. Very strategic location! Lakini ilikuwa ni Uhaya, uhaya hata mkuu wa mkoa walitamani awe Muhaya. Kabila jingine ulikuwa ukipangiwa kule, ujue ni kutengwa kisawasawa!

Miji inayoendelea lazima ijichanganye. Hamtaki! Poleni!
Kuna kaukweli hapa!
 
Naam!!
Katika wakuu wa mikoa ambao wanafanya kazi yao kwa utukufu uliotukuka ni Meck Sadick, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

Huwezi sikia matamko ya
hovyohovyo katika mkoa huu, huwezi sikia jambajamba za ajabu kama za wakuu wa mikoa mingine.
Meck Sadik anaelewa asili ya watu wa hapa, anaelewa jeuri
yao. Kwa kulitambua hilo anatumia busara ya hali ya juu kuongoza mkoa huu.

Sasa KLM inaimarika kiuchumi, jiji lazidi kupendeza kwa usafi
na nidhamu ya hali ya juu.

Hali ya hapa imetulia sasa, huwezi kuta vurugu za machinga na police, huwezi kuta matamko ya ajabu ya RPC
au Sadick mwenyewe kuzuia maandamano (UKUTA).
RC na RPC wanaelewa watu wa hapa, wanatambua kwamba
wanaishi na watu wenye uelewa na uwezo wa hali ya juu
kuamua kufanya mambo yao.

Posho za madiwani wa Chadema nasikia ni 120,000 kama zile za Arusha lakini huwezi ona vurugu za Rc au DC
akipambana na madiwani wa
Manispaa.
Meya wa Moshi,Mkuu wa mkoa na mkurugenzi they work as a team, wana heshimiana kwa kutambua mipaka ya
mwenzake, wanaongoza kwa
katiba na sheria ya manispaa yetu.
Nawapongeza sana kwa kuufanya mkoa huu kuwa imara, mkoa usiopelekeshwa na

kauli za uchwara kama nani hii.
Maandalizi ya UKUTA yanaendelea vizuri.
Karibuni KILIMANJARO.

Eti wanauelewa wa hali ya juu wakati hakuna watu wenye majungu makazini kama hao, RC anawasoma kwanza mtafurahi
 
Tatizo huko Dar wameletewa mtoto ambaye alifeli shule ila baada ya kubebwabebwa akajikuta amepewa cheo kilichomzidi uwezo.
 
Thank you brother, very unbiased comments. Naamini miji yetu haijafika level yakuitwa jiji, Dar bado wananunua maji kwenye madumu. So bado tunasafari
KIla mtu hujivunia kwao lakini naomba tusaidiane na kujikosoa kama Manelezu alivyojaribu.
Miji yote hapa TZ iko hoi tu hata kama mtu atajidai kujivunia moshi yake ni kutofahamu maana ya miji. Huwa nashangaa kusikia Dar inaitwa 'Jiji' nimewahi kuwauliza hapa Jiji gani watu wanaamushwa na kuku wanaowika? tena mitaa ya samora! Unalala New Africa Hotel kwa dola 120, asubuhi unastuliwa na kuku anayewika nyumba ya jirani! Hii yote ni kama vijiji vikubwa tu. Eti kukiwa na rami na watu milioni kadhaa, wanaita jiji! Dah! Watu bila miundombinu!

Tatizo la Moshi ni kukosa business za maana. Kila duka ni vifaa vya ujenzi, basi! Hiyo inatokana na Ukabila na hilo wana Moshi lazima walielewe. Biashara hapo inafanyika kwa kiasi kikubwa kwa kuedekeza ukabila na ki-wilaya. Rombo wana maduka yao na wateja wao mjini. Marangu, kibosho, .... ni hivyo hivyo! Waliostuka wamehamia Arusha na kuiacha Moshi yao. Barabara za rami ni mbili na ya tatu ni hiyo iendayo Arusha.

Nenda kwenye uongozi. Kwa jiji tulitegemea liwe cosmopolitan. Hutakuta diwani wala mbunge wa kabila jingine. Kwa hiyo mijadala inaweza endeshwa kwa kichagga, experience na mifano ni ya kichagga, miradi itapangwa kichagga, nk. Moshi wanahitaji kujichanganya ili wasikie lugha zingine na kufikiri tofauti na kichagga. Wakiona vijana wanakunywa gongo sana, wataweza kueleza na kutatua kwa mifano ya kwingineko badala ya kuona ni mkosi unaotakiwa kukemewa kanisani na padre ambaye pia ni mchagga!

Hiyo hali iliwaangusha watu wa Bukoba. Nenda mji wa Bukoba uone ulivyo hoi pamoja na kwamba uko kwenye crossings za Rwanda-Burundi-Uganda. Very strategic location! Lakini ilikuwa ni Uhaya, uhaya hata mkuu wa mkoa walitamani awe Muhaya. Kabila jingine ulikuwa ukipangiwa kule, ujue ni kutengwa kisawasawa!

Miji inayoendelea lazima ijichanganye. Hamtaki! Poleni!
 
mkuu mji wa moshi umepangika, sio kila sehemu unafanya biashara, kuna masoko yaliotengwa kwa biashara.
kama ulifikiri huu mji ni kama uliyo zoea basi polee
Karibu tena mkuu nikutembeze moshi
Solo kuu la Moshi mjini kila bucha INA deep freeze, meat band saw (msumeno wa Umeme wa kukatia nyama) , digital measuring scale na kabati la kioo la kuhifadhia Nyama lisiloingiza inzi

hiyo ndiyo Moshi ya wastaarabu
 
Binafsi nimesikitika sana kwa Felix Ntibenda kufutwa kazi.He was the best RC in the country.
Arusha ilishafika Kaanani sasa inataka kurudishwa Misri!!
 
Back
Top Bottom