Mjuzi Wenu
Senior Member
- Nov 18, 2017
- 108
- 100
Mimi ni muhitimu wa shahada ya uhandisi mitambo
nimebobe katika kudesign kwa kutumia software mbali mbali kama Solidwork, Autocad na Automation studio kwa mifumo ya hydroulic au pneumatic.
Pia nina ujuzi mkubwa katika kutatua matatizo ya mashine mbali mbali hususani Diesel engine.
Pia ninauwezo mkubwa katika kufanya maintenance mifumo ya gari na vyombo mbali mbali vya usafilishaji kama trector.
Naomba kazi, nipo tayali kufanya kazi mko wowote kwa sasa nipo Dar es Salaam.
Mawasiliano 0692235221
Ahsante
nimebobe katika kudesign kwa kutumia software mbali mbali kama Solidwork, Autocad na Automation studio kwa mifumo ya hydroulic au pneumatic.
Pia nina ujuzi mkubwa katika kutatua matatizo ya mashine mbali mbali hususani Diesel engine.
Pia ninauwezo mkubwa katika kufanya maintenance mifumo ya gari na vyombo mbali mbali vya usafilishaji kama trector.
Naomba kazi, nipo tayali kufanya kazi mko wowote kwa sasa nipo Dar es Salaam.
Mawasiliano 0692235221
Ahsante