Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 610
- 400
Ninauhitaji wa Mechanical Engineers wenye sifa na uwezo kama nilivyoonyesha hapa chini.
Mechanical Engineers, with CSWIP 3.1 certification and NDT qualification (VT;PT;MT;UT & RT).
Naomba kama una ndugu au rafiki mwenye uwezo na uzoefu na awe na vyeti anitumie CV kwenye e-mail,
bethel@amenconsulting.co.tz na copy to
atakoshabani@gmail.com
Naomba watume mwisho tare 29.09.2023 saa saba mchana.
Nimepewa nafasi kwa wazawa kwanza kabla hawajachukuwa wageni kutoka nje ya Tanzania 🇹🇿.
Jamani tushirikiane kusaidia watu wetu ambao ni wazawa.
Mechanical Engineers, with CSWIP 3.1 certification and NDT qualification (VT;PT;MT;UT & RT).
Naomba kama una ndugu au rafiki mwenye uwezo na uzoefu na awe na vyeti anitumie CV kwenye e-mail,
bethel@amenconsulting.co.tz na copy to
atakoshabani@gmail.com
Naomba watume mwisho tare 29.09.2023 saa saba mchana.
Nimepewa nafasi kwa wazawa kwanza kabla hawajachukuwa wageni kutoka nje ya Tanzania 🇹🇿.
Jamani tushirikiane kusaidia watu wetu ambao ni wazawa.