Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 6,750
- 14,491
Kwa huu uhuni wa uchaguzi, raisi Samia na genge lake walivyoupora kwa madaraka yake ya kikatiba. Unajiuliza were the killings necessary.
Kwa mara ya kwanza turnout ya wapiga kura ni ndogo kwa ushahidi wa jamii kuliko kipindi chochote.
Ushindi wa kupika ni mkubwa kushinda kupita kipindi chochote.
Watanzania kwa mara ya kwanza wamejaribu kuzuia dhulumati ya uchaguzi.
Swali la msingi kwa Samia na wahuni wenzake kama wana nguvu hizo ndani ya NEC ya kuiba uchaguzi.
Kwanini kwa miaka minne wamekuwa wakiteka na kuuwa vijana wakitanzania.
Ni kama vile ni genge la watu wanaopenda kuteka na kuuwa watu tu.
View: https://m.youtube.com/watch?v=kWE6M-rhh2U
That’s like Emmy ☝️asking the question on the logic of the movie outcome given the leading statement.
In other words kama una nguvu ya kuiba uchaguzi given the worst case scenario; kwanini kwenye kipindi hiko mmeteka na kuuwa watu.
Doesn’t make sense
Kwa mara ya kwanza turnout ya wapiga kura ni ndogo kwa ushahidi wa jamii kuliko kipindi chochote.
Ushindi wa kupika ni mkubwa kushinda kupita kipindi chochote.
Watanzania kwa mara ya kwanza wamejaribu kuzuia dhulumati ya uchaguzi.
Swali la msingi kwa Samia na wahuni wenzake kama wana nguvu hizo ndani ya NEC ya kuiba uchaguzi.
Kwanini kwa miaka minne wamekuwa wakiteka na kuuwa vijana wakitanzania.
Ni kama vile ni genge la watu wanaopenda kuteka na kuuwa watu tu.
View: https://m.youtube.com/watch?v=kWE6M-rhh2U
That’s like Emmy ☝️asking the question on the logic of the movie outcome given the leading statement.
In other words kama una nguvu ya kuiba uchaguzi given the worst case scenario; kwanini kwenye kipindi hiko mmeteka na kuuwa watu.
Doesn’t make sense