HadithiZaRuvuly
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 369
- 114
Jamani kuna mdudu (anafanana na mnyoo) anaye kaa kwenye mboga za majani pia huyo mdudu hafi kwa kupikwa unashauriwa kuosha mboga za majani kwa chumvi na maji ya uvuguvugu maana ni mdogo anaganda kwenye mboga hizo za majani kama konokono na ana umbo dogo ila akiingia tumboni anakuwa haraka.
Dalili ni tumbo kuvimba kwa haraka na ndani ya muda mfupi (3 to 6 hours) inategemea na immunity yako. Pamoja na maumivu ya tumbo
Dawa bado haijafahamika lakini mpaka sasa tiba yake ni OPERATION kubwa ya tumbo kumtoa huyo mdudu
Kuna mtoto alivimba tumbo baada ya kumla na amefanyiwa operation leo ila amefariki ni hapa Tanzania tena Arusha
Jamani tuwe makini na mboga za majan hasa za kula kwa mamantilie
Sambaza na marafiki taarifa ziwafikie.
By othuman ruvuly
Dalili ni tumbo kuvimba kwa haraka na ndani ya muda mfupi (3 to 6 hours) inategemea na immunity yako. Pamoja na maumivu ya tumbo
Dawa bado haijafahamika lakini mpaka sasa tiba yake ni OPERATION kubwa ya tumbo kumtoa huyo mdudu
Kuna mtoto alivimba tumbo baada ya kumla na amefanyiwa operation leo ila amefariki ni hapa Tanzania tena Arusha
Jamani tuwe makini na mboga za majan hasa za kula kwa mamantilie
Sambaza na marafiki taarifa ziwafikie.
By othuman ruvuly