Chilemba wamela pamputi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 544
- 598
@mdude chademaNi kijana aliyepata umaarufu kwenye chama chake kutokana na kumtukana na kushambulia serikali ya Magufuli.
Kuna wakati alitoweka na alipopatikana alionekana kajeruhiwa sana.
Katika vijana wa chadema ambao waliamua kumtukana rais, huyu alijipambanua kwa uwazi kabisa na kuonyesha ujasiri wa juu kwani kuna wakati alimfananisha Magufuli na mgonjwa aliyepata gono kwa kuendekeza uasherati.
Kwa sasa hasikiki na hata ile akaunti yake naona haipo tena. Mwenye taarifa zake tujuzane tafadhali sababu mi ni mmoja wa mashabiki wake.
Yuko hapo mkuu hana jipya