Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,079
Jamani hivi hili sio kosa kuweka picha ya mtu na kumnasibisha na makosa? Vijana tumieni basi akili japo maana haya ni makosa ila hamtaki kuambiwa mnakosa
Alafu mods wamekaa tu, yani mtu analeta picha anaweka hapa huku akijisema hao ndio watu wasiojulikanaHuu ni uhaba wa mambo ya kujadili, wewe umejuaje kuwa huyo ni wale wasiojulikana?? Chadema mmegeuka mabingwa wa siasa nyepesi.
Kwa hiyo hamtaki hata watu waende kuwajulia hali wapendwa wao ambao wamelazwa hapo??
Halafu wanapenda kuvaa JEANS kama kamanda wao anavyopendaWatu wasiojulikana Mkoani Mbeya tangu Jana wanazingira eneo ambalo Mdude Nyagali - CHADEMA amelazwa. Huyu ni mmoja wa hao watu ambao nia yao haijulikani.
Makamanda mnashauriwa kuwa makini na watu wanao kuja eneo ambalo Mdude amelazwa.
Picha ni mmoja ya walio mzingira Mdude Hospitalini.
View attachment 1093349View attachment 1093350
Tatizo Magufuli zero mshauri wake bashite zero dah hawana akili kabisaHuu ni uhaba wa mambo ya kujadili, wewe umejuaje kuwa huyo ni wale wasiojulikana?? Chadema mmegeuka mabingwa wa siasa nyepesi.
Kwa hiyo hamtaki hata watu waende kuwajulia hali wapendwa wao ambao wamelazwa hapo??
Ushahidi gani unaoonyesha Ni wasiojulikana ??Watu wasiojulikana Mkoani Mbeya tangu Jana wanazingira eneo ambalo Mdude Nyagali - CHADEMA amelazwa. Huyu ni mmoja wa hao watu ambao nia yao haijulikani.
Makamanda mnashauriwa kuwa makini na watu wanao kuja eneo ambalo Mdude amelazwa.
Picha ni mmoja ya walio mzingira Mdude Hospitalini.
View attachment 1093349View attachment 1093350
Hahahahhahahahahah wasiojulikana wanaona baridi......hii kali...........