Mdogo wangu na Alama zake

Mdogo wangu na Alama zake

fr3

Senior Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
103
Reaction score
17
Habari zenu wa jf, Nina mdogo wa Rafiki yangu wa form4 hawa waliomaliza juzi alifaulu kwa Division 3, kombi zote zimebalancy tatizo hajachaguliwa na pesa hana zakumpeleka private,anaomba ushauri kwa alihitaji mdogo wake ampeleke chuo cha TANAPA lakini ajui afanyeje!

Ushauri please
 
Asante kwa ushauri japo namna yakumpata mfadhili, isitoshe ni Mtoto wa kike.
 
wakati anasubiri cha kufanya ungemshauri apitie walau mafunzo ya mgambo itamsaidia kwa baadae
 
Jinsia gani???
Kama wa kiume apambane tu maisha sio kusoma tu.
Kama wa kike ale kiepe yai sana apate chura,
 
Asubirie second selection au kama akiweza basi amfuate mwalim mkuu wa a level yeyote anaweza kumfanyia admission manake kuna wanafunzi hawata report. Au aende hata kwa afisa elimu mkoa au wilaya
 
Ushauri mzuri asante
 
Back
Top Bottom