GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,553
- 108,889
- Thread starter
- #21
Hivi kuna Watu wachawi kama Waghana? Asante Kwasi alianza kwa Mohammed Hussein ila Tshabalala alipoenda Kwao Tanga Kwasi alijuta kabisa.Tshishimbi alipata jeraha akiwa sebleni mpaka alipoenda kwao mambo yakawa safi ni ukweli yanga kuna vipapai sio yanga tu timu nyingi za tz