Mdogo wangu Jokate, achana na mitandao ya kijamii

Yeah, I figured. People who can't finish what they've started have an unquenchable hate towards people who've made it in life. Pole sana.
Oooh shit.
Am not hating Jokate but i don't appreciate her in that position on which she is.
And then am not jealous of her and because of me not completing high school it doesn't mean that i didn't make up in my life.
I have choosen to take diploma in clinical medicine and now am fighting for bachelor of medicine.
You don't know me and you don't know my where about.
I can quit studying and I can also become wealth.
Because until now am wealthy to my satisfaction due to my family's wealthy.
So shut the f**k.
 
You spoke it all.
mimi namtetea jokate..

kabla hata hajateuliwa ukuu wa wilaya.. jokate alikuwa anaishi maisha ya social network sana.. kama anavyoishi mobetto, wema sepetu, lulu, diamond plutnumz, tunda , na wegineo..

jokate ni x beauty queen anaependa social network.. maisha ya photoshoot na kuuza sura mtandaoni hajayaanza jana wala leo..

hata waliompa ukuu wa wilaya wanajua ndivyo alivyo..

jokate maisha ya ma photo shoot na kina benatilio, na kina lavie ni toka kitambo.. kabla ya ukuu wa wilaya yeye kila siku anapost mapicha picha

sasa why aache?

na jokate mjanja sana anajua kutumia social media kimanufaa.. kama hamisa mobetto au lulu vile.. tofaut wao hawajaenda sana shule jokate anawazidi uelewa...

jokate toka amalize chuo hajawai kuajiriwa.. ila ameshapata dili kubwa sana kwa nguvu yake mtandaoni..

kuna wachina walimpa dili la nywele za kidoti, ma begi ya kidoti akalamba hela nyingi sana kisa tu kutangaza nywele zao.. akijifanya za kwake ili fans wake wanunue sana na kweli wakauza sana..

jokate alikuwa anakusanya wadada wazuri fans wake anawaita kidoti models wanamsaidia kutangaza nywele bureee huku yeye anapiga hela za wachina.. na hapo hapo wateuzi wamemuonea mtandaoni

nba wameshampa jokate dili na kumsafirisha hadi usa kama balozi wao huku hajawai hata kucheza basket serious popote sabab ya nguvu yake mtandaoni...

na anajua kabisa anachofanya hayo mapicha picha ya kisarawe na harambee yatampa ubunge, uwaziri na hata urais siku moja ikifika zamu ya rais mwanamke kama utani..

Jokate na instagram ni kama Trump na twitter hawaachi kupost hata iweje

kwa kuongezea tu
jokate kichwa sio bashite yule... jokate o level katia A za kumwaga pale st antony.. tena darasa la science.. alipiga division 1 point 11 o level...

shule ya day dar , mtoto mzuri kama jokate anatongozwa daily na bado akatia div 1 point 11 sawa sawa na wasongo wa mzumbe, ilboru, marian , wanaokesha kwenye mabeseni..

jokate darasani anajiweza sana
 
Najiuliza maswali nakosa majibu..

Hivi kabla ya hizi Social Network kuja Tanzania viongozi wetu walikua wanafanyaje kazi??

Mh Jokate umekua mtu wa social networks kwa kila jambo hadi naona kabisa kwamba kumbe bila ya social networks huwezi kufanya kazi.. Social network ndiyo inakufanya utuaminishe kwamba unafanya kazi na sio uwezo wako binafisi...!!!

Mh Jokate hebu chukua mda wako,jiulize je wewe ni DC unayefanya kazi zaidi ya RC wako ambaye ndiyo boss wako?? Jibu ni hapana, Je ushawahi ona wapi anajitangaza kama wewe unavyofanya??

Mh Jokate je kweli wewe ndiyo DC unayefanya kazi zaidi kuliko DC yoyote hapa Tanzania?? Jibu ni hapana kuna wengine wanakuzidi mbali tu na wala huwezi fika hata robo ya ubunifu wao kwenye kutenda kazi, Je ulishawahi ona wapi wanatuaminisha kupitia social netwoks kwamba wao wanafanya kazi sana??

Hapo Wilayani kwako,una Mbunge kijana na ni Waziri mwenye dhamana ya Tamisemi,ni Waziri anayechapa kazi kweli kweli, Je ulishamwona anajitangaza kama wewe?? Kwa nini usimtumie Jafo kwenye mambo yako yakiutendaji hasa kwenye sector Afya, Barabara na Elimu? Maana vyote hivi vipo chini ya Jafo na anavisimamia kwenye Wizara yake....

Kuna mtu anaitwa Mtaka ni RC wa Simiyu ulishawahi ona anajitangaza kwenye ufanyaji kazi zake?? Leo nenda Simiyu ni moja ya Mikoa inayokuja juu kwa kasi ya 4G kwenye suala la maendeleo,Lakini hutamkuta hata siku moja Mtaka kafanya jambo lakujitangaza...

Kwanza shukuru Mungu umepewa Wilaya ambayo haina changamoto za kijinsia,kuna wilaya au mikoa hadi leo hii hawezi ongoza mwanamke... zaidi watakua wanakudharau sana tu nakukuita majina ya ajabu ajabu sana....

Chapa kazi achana na social networks, waachie Wananchi wenyewe waseme,na sio wewe kutuaminisha kwamba unaweza fanya kazi kwa social networks...

Leo upo pale,lakini kuna siku hautakuwepo hapo, Je wananchi utakuwa umewaachia alama gani?? Kuna watu walikua wanapenda kujitangaza kila wanachofanya,lakini leo hii wanaishi maisha ya aibu,wewe bado nikijana mdogo sana kwa umri na hata kwenye uwanja wa siasa...

Punguza Social Networks... Fanya kazi bila ya Social Networks...
Hmmm... it sounds like more of a personal issue.

Ila it's okay, mtazoea taratiiibu kuwa the world is going forward and social media is the platform.

Kwa hii pace tunaenda nayo Bunge litakuwa linaendeshwa live online. Not a millennium to come not a century, but few years or decades to come, I promise. Cause every politician now wants the attention and it's not working old fashioned way. Your desperate post proves this.

By the time unakuja kushtuka you'll be way behind, and not even your propaganda can do anything.

Hivi mimi ambaye sijawahi hudhuria mkutano wowote wa kisiasa unadhani how on earth a politician ataweza kuni convince kumchagua au kuona shughuli anazotekeleza ?

As a politician lazima uwe na kiherehere. 21st century people don't give a deum what you do behind the curtains.
Show us! Show us what you do! Is that how you are going to earn my confidence and support? Hell yeah!
Cause that's how social media has power on us now and there is no going back.

Democracy is the game of numbers and it seems to me here Ms.Jokate has the numbers.

PS. You know I find it ironic that you used the same social media to tell us about what other RCs and DCs are doing and crush DC Jokate.

I need to know who exactly is bothered by this.. you as an unimpressed citizen? Hateful fellow politician (likely an unlucky CCM member with/with no position)? A sexist?
A jealous person?
Or someone who just realized that they can never reach Ms.Jokates potential even if they used Social media?
Please tell me, I'm dying to know.
 
Oooh shit.
Am not hating Jokate but i don't appreciate her in that position on which she is.
And then am not jealous of her and because of me not completing high school it doesn't mean that i didn't make up in my life.
I have choosen to take diploma in clinical medicine and now am fighting for bachelor of medicine.
You don't know me and you don't know my where about.
I can quit studying and I can also become wealth.
Because until now am wealthy to my satisfaction due to my family's wealthy.
So shut the f**k.
Shekhe we pasua yai tu baba, ongeza trey moja hapo nitalipia! Sema sasa mimi enzi hizo nilikuwaga ule upande wa "money is better than education" I really miss those moments indeed, Dah! utoto bwana!
 
social networks zipo kabla hata ya Internet, ila kilicholetwa na Internet ni social network sites au social media. Kwa kifupi, kwa mwanadamu sociality haijaanza leo wala jana.
 
Najiuliza maswali nakosa majibu..

Hivi kabla ya hizi Social Network kuja Tanzania viongozi wetu walikua wanafanyaje kazi??

Mh Jokate umekua mtu wa social networks kwa kila jambo hadi naona kabisa kwamba kumbe bila ya social networks huwezi kufanya kazi.. Social network ndiyo inakufanya utuaminishe kwamba unafanya kazi na sio uwezo wako binafisi...!!!

Mh Jokate hebu chukua mda wako,jiulize je wewe ni DC unayefanya kazi zaidi ya RC wako ambaye ndiyo boss wako?? Jibu ni hapana, Je ushawahi ona wapi anajitangaza kama wewe unavyofanya??

Mh Jokate je kweli wewe ndiyo DC unayefanya kazi zaidi kuliko DC yoyote hapa Tanzania?? Jibu ni hapana kuna wengine wanakuzidi mbali tu na wala huwezi fika hata robo ya ubunifu wao kwenye kutenda kazi, Je ulishawahi ona wapi wanatuaminisha kupitia social netwoks kwamba wao wanafanya kazi sana??

Hapo Wilayani kwako,una Mbunge kijana na ni Waziri mwenye dhamana ya Tamisemi,ni Waziri anayechapa kazi kweli kweli, Je ulishamwona anajitangaza kama wewe?? Kwa nini usimtumie Jafo kwenye mambo yako yakiutendaji hasa kwenye sector Afya, Barabara na Elimu? Maana vyote hivi vipo chini ya Jafo na anavisimamia kwenye Wizara yake....

Kuna mtu anaitwa Mtaka ni RC wa Simiyu ulishawahi ona anajitangaza kwenye ufanyaji kazi zake?? Leo nenda Simiyu ni moja ya Mikoa inayokuja juu kwa kasi ya 4G kwenye suala la maendeleo,Lakini hutamkuta hata siku moja Mtaka kafanya jambo lakujitangaza...

Kwanza shukuru Mungu umepewa Wilaya ambayo haina changamoto za kijinsia,kuna wilaya au mikoa hadi leo hii hawezi ongoza mwanamke... zaidi watakua wanakudharau sana tu nakukuita majina ya ajabu ajabu sana....

Chapa kazi achana na social networks, waachie Wananchi wenyewe waseme,na sio wewe kutuaminisha kwamba unaweza fanya kazi kwa social networks...

Leo upo pale,lakini kuna siku hautakuwepo hapo, Je wananchi utakuwa umewaachia alama gani?? Kuna watu walikua wanapenda kujitangaza kila wanachofanya,lakini leo hii wanaishi maisha ya aibu,wewe bado nikijana mdogo sana kwa umri na hata kwenye uwanja wa siasa...

Punguza Social Networks... Fanya kazi bila ya Social Networks...
Mleta bandiko acha ujinga na upumbavu hivi inakuuma Nini maisha ya mtu? Wewe ndo ulimchagua hiyo nafasi? Hivi kupiga picha vyoo, madarasa, nyumba za walimu, madawati kutoka kwa wahisani km Pierre Liquid inashida gani?

Mwanaume km wewe Ni hasara sana, unakaa chini unaanza kuponda maisha ya mtu Tena mwanamke hovyo kabisaaa!!!

Roho mbaya, chuki na husda havikusaidiii kitu, au unataka hiyo nafasi Nini?
 
Najiuliza maswali nakosa majibu..

Hivi kabla ya hizi Social Network kuja Tanzania viongozi wetu walikua wanafanyaje kazi??

Mh Jokate umekua mtu wa social networks kwa kila jambo hadi naona kabisa kwamba kumbe bila ya social networks huwezi kufanya kazi.. Social network ndiyo inakufanya utuaminishe kwamba unafanya kazi na sio uwezo wako binafisi...!!!

Mh Jokate hebu chukua mda wako,jiulize je wewe ni DC unayefanya kazi zaidi ya RC wako ambaye ndiyo boss wako?? Jibu ni hapana, Je ushawahi ona wapi anajitangaza kama wewe unavyofanya??

Mh Jokate je kweli wewe ndiyo DC unayefanya kazi zaidi kuliko DC yoyote hapa Tanzania?? Jibu ni hapana kuna wengine wanakuzidi mbali tu na wala huwezi fika hata robo ya ubunifu wao kwenye kutenda kazi, Je ulishawahi ona wapi wanatuaminisha kupitia social netwoks kwamba wao wanafanya kazi sana??

Hapo Wilayani kwako,una Mbunge kijana na ni Waziri mwenye dhamana ya Tamisemi,ni Waziri anayechapa kazi kweli kweli, Je ulishamwona anajitangaza kama wewe?? Kwa nini usimtumie Jafo kwenye mambo yako yakiutendaji hasa kwenye sector Afya, Barabara na Elimu? Maana vyote hivi vipo chini ya Jafo na anavisimamia kwenye Wizara yake....

Kuna mtu anaitwa Mtaka ni RC wa Simiyu ulishawahi ona anajitangaza kwenye ufanyaji kazi zake?? Leo nenda Simiyu ni moja ya Mikoa inayokuja juu kwa kasi ya 4G kwenye suala la maendeleo,Lakini hutamkuta hata siku moja Mtaka kafanya jambo lakujitangaza...

Kwanza shukuru Mungu umepewa Wilaya ambayo haina changamoto za kijinsia,kuna wilaya au mikoa hadi leo hii hawezi ongoza mwanamke... zaidi watakua wanakudharau sana tu nakukuita majina ya ajabu ajabu sana....

Chapa kazi achana na social networks, waachie Wananchi wenyewe waseme,na sio wewe kutuaminisha kwamba unaweza fanya kazi kwa social networks...

Leo upo pale,lakini kuna siku hautakuwepo hapo, Je wananchi utakuwa umewaachia alama gani?? Kuna watu walikua wanapenda kujitangaza kila wanachofanya,lakini leo hii wanaishi maisha ya aibu,wewe bado nikijana mdogo sana kwa umri na hata kwenye uwanja wa siasa...

Punguza Social Networks... Fanya kazi bila ya Social Networks...
Ni wivu tu
 
Ushauri murua kabsa ingawaje kwa sasa dunia iko kidigitali zaidi bila mitandao maisha hayaendi ndio maana hata mie nko kwenye jukwaa hili pendwa
 
Back
Top Bottom