Mdogo wa Tundu Lissu atolea ufafanuzi wa sakata la upigaji wa fedha za michango ya Lissu

Mdogo wa Tundu Lissu atolea ufafanuzi wa sakata la upigaji wa fedha za michango ya Lissu

Bawabu wa pili

Senior Member
Joined
Nov 14, 2025
Posts
147
Reaction score
432
Naona Wahuni wanajichanganya wenyewe mtanzania akili ku mkichwa watumieni hizo buku hata mama zenu vijijini huko
 
Huu ni ushamba kudhani kila mama wa watanzania wote wapo vijijini?

Kwa kuwa wewe unatoka kijijini unadhani mama wa watanzania wote wapo vijijini.
Tuma pesa hizo Iringa huko hapa tunajuana tegula a mapesa igo kwa va vaha vako😂😂😂😂
 
Naona Wahuni wanajichanganya wenyewe mtanzania akili ku mkichwa watumieni hizo buku hata mama zenu vijijini huko
20250417_093236.jpg
 
Ripoti ya CAG bado haijatoka Nyumbu endelea kufuatilia ni hivi karibuni naina inatokaga tarehe 30 March kila mwaka
Ilishatoka na haikujadiliwa, ikitoka ya safari hii itakuta kipori cha kujadiliwa, huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani. Ule upuuzi ulileta hapa jana umeonyeshwa hizo hazikuwa pesa zilizoratibiwa na cdm, bali ni michango binafsi isiyo na uhusiano na taasisi. Rudini ofisini mkatafute jingine dhidi ya cdm, hilo limebuma.
 
Ilishatoka na haikujadiliwa, ikitoka ya safari hii itakuta kipori cha kujadiliwa, huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani. Ule upuuzi ulileta hapa jana umeonyeshwa hizo hazikuwa pesa zilizoratibiwa na cdm, bali ni michango binafsi isiyo na uhusiano na taasisi. Rudini ofisini mkatafute jingine dhidi ya cdm, hilo limebuma.
Kwenye Mambo Ya Auditing huko ndo nilikobobea sasa mambo ya Qualified and Unqualified report mambo ya Adverse report huko mimi ndo mbaya zaidi nikiona Financial statements tuu najua upigaji uko sehemu gani?
 
Kwenye Mambo Ya Auditing huko ndo nilikobobea sasa mambo ya Qualified and Unqualified report mambo ya Adverse report huko mimi ndo mbaya zaidi nikiona Financial statements tuu najua upigaji uko sehemu gani?
So what?
 
Ripoti ya CAG bado haijatoka Nyumbu endelea kufuatilia ni hivi karibuni naina inatokaga tarehe 30 March kila mwaka
Unajua hiyo ripoti ni ya lini hata useme haijatokea?
 
Wauaji wanadhani hii wataibeba kama agenda tarehe 6 Feb chuma kitakua mahakamani shida iko pale pale mmeshamfanya akae muda mrefu atakua kashapitia sheria kibao akija nikiwapiga kwenye mishono nakuwavua nguo vilaza wote
 
Huu ni ushamba kudhani kila mama wa watanzania wote wapo vijijini?

Kwa kuwa wewe unatoka kijijini unadhani mama wa watanzania wote wapo vijijini.
Hivi kuna tatizo gani na mtu kutoka kijijini, au kuwa Kisutu!
Kuna sifa yoyote maalum inayompa hadhi ya juu huyo wa Kisutu?

hawa wapumbavu wanaojigamba kuwa wa mjini, si ndio hawa wanaochafua nchi yetu kiasi hiki sasa?
Kuna kitu maalum cha kujivunia hapa?
 
Back
Top Bottom