Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,738
- 11,644
Ni lazima utoke na mdogo mtu pia?Kwel mkuu itabidi nfanye hivo
Kuna haja ya kuwa na kiasi, pia kujua ubaya wa kulala na ndugu wa tumbo moja. Kwa ubinafsi, unaweza usijali nini kitakachowatokea hawa akina dada watakapojua ulichowafanyia.
Nina imani utaonesha umepevuka kwa kutokumkubalia binti mdogo ombi lake, kumpigia simu tu ilikuwa ni kosa la kwanza.
Sent from my LM-Q710(FGN) using JamiiForums mobile app