Mdaktari Watashukuriwa au Kulaaniwa?

mzamifu

JF-Expert Member
Mar 10, 2010
6,379
3,826
Imekuwa kawaida katika misiba pale historia ya marehemu inaposomwa kuna kipengele ambacho ni cha kuwashukuru madaktari na wauguzi waliomtibu marehemu. Sasa swali; ikiwa mgonjwa amekufa kutokana na madaktari kugoma kipengele hicho kitamkweje? tunawalaani, tunawapongeza, tunawasamehe au tunataka waendelee na mgomo? au ni Je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…