Mdaktari Watashukuriwa au Kulaaniwa?

mzamifu

JF-Expert Member
Mar 10, 2010
6,368
3,814
Imekuwa kawaida katika misiba pale historia ya marehemu inaposomwa kuna kipengele ambacho ni cha kuwashukuru madaktari na wauguzi waliomtibu marehemu. Sasa swali; ikiwa mgonjwa amekufa kutokana na madaktari kugoma kipengele hicho kitamkweje? tunawalaani, tunawapongeza, tunawasamehe au tunataka waendelee na mgomo? au ni Je?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom