TheTanzaniaWeWant
Member
- Oct 23, 2013
- 23
- 1
- Thread starter
- #21
tuna tatizo la kiufundi
Bahati mbaya sijapata nafasi ya kuwasilisha swali lako lakini jf inasomwa na kila mtu ujumbe umefikaMaoni yangu kama mtaweza kuyafikisha huko yafikisheni kuwa: kama kweli watanzania tuna nia ya Dhati ya Muungano basi tuwe na NCHI MOJA TU na SERIKALI MOJA kinyume na hapo ni kiinimacho tu.
Bahati mbaya sijapata nafasi ya kuwasilisha swali lako lakini jf inasomwa na kila mtu ujumbe umefika