Mdahalo mdahalo Wagombea Urais

Mdahalo mdahalo Wagombea Urais

Mhonzuyadilu

Senior Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
156
Reaction score
53
Wanajamvi kama ambavyo CCM wametuonesha karata yako ni Kamanda Magufuli mi binafisi sijawahi kumusikiliza huyu bwana akimwaga mikakati yake ya uongozi wake kama mbunge.leo kapewa rungu basi kabla ya kura hapo october aje kwenye media na wapinzani wake wakuu tupate kuchambua ukweli na ubabaishaji wa hoja wa wasaka urais wetu.Nattumaini upande wa pili yuko kamanda mbishi kabisa naye ni dr Slaaa basi media zetu wekeni midahalo tuwasome vizuri majemedari hawa wawili.
 
Back
Top Bottom