Ni ukweli unaouma sana! Sina cha kuongeza nyumba kubwa. Khaa!Nadhani ni nature kama kuku na vifaranga vile.
Bond ya kubeba kiumbe miezi tisa na kunyonyesha mwaka miaka; ina mconnect mama na mtoto kwa njia ya hajabu. Kids are miraculous gift to every mother.
And sometimes I feel like I love my husband more and more when I feel like he loves our kids because they are everything to me.
Na kama kuku na vifaranga wake nitamchukia yeyote atakayechukia watoto wangu.
Kwa hiyo naweza kusema ukitaka mwanamke akupende basi penda watoto wake. Kama in any way iwe ni kweli au a mistake mkeo akahisi umeanza kuchukia watoto jua mapenzi yake kwako yatakoma. A bridge to woman's heart is her kids, whereas a bridge to a man's heart is the wife (or any lover) maana si wote wana mapenzi na wake zao.
OFF TOPIC: Cantalisia yule rafiki yako anaendeleaje, msalimie sana lolShikamoo babu, naomba mpe bibi id yako apitie huu uzi wako,hakika unastahili sifa babu!
hv wanaume wanagawaje malove yao
wife?%
nyumba ndogo%?
Makid%? Hapo tena anagawa maana watoto wa kike hawawezi kupendwa sawa na wakiume.
Mpaka hapa nilipofikia nimejifunza somo moja gumu na linaloumiza sana.
kwamba wanaume na wanawake ni vitu viwili tofauti kabisa katika maisha ya mapenzi na upendo.
Nilichokuwa nakijua na ambacho naamini mpaka sasa kinaendelea
Mke anampenda mmewe saaaaana, pale wanapokuwa hawajapata watoto/mtoto
Mme anampenda mkewe sana pale wanapokuwa hawajapata watoto/mtoto
Nilichojifunza leo kwa mstuko
Mme anampenda mke hata kama ameshapata mtoto/watoto
Mke anampenda sana mtoto/watoto akishapata mtoto/watoto. Mme anakuwa namba mbili.
Swali kwa wanawake:
Ni kitu gani hasa kinawafanya mhamishie mapenzi yenu kwa watoto na kuwaweke waume zenu namba 2? Hapa tu-assume hakuna ubaya wowote uliotendewa na mmeo.
Inauma sana aisee!
Mpaka hapa nilipofikia nimejifunza somo moja gumu na linaloumiza sana.
kwamba wanaume na wanawake ni vitu viwili tofauti kabisa katika maisha ya mapenzi na upendo.
Nilichokuwa nakijua na ambacho naamini mpaka sasa kinaendelea
Mke anampenda mmewe saaaaana, pale wanapokuwa hawajapata watoto/mtoto
Mme anampenda mkewe sana pale wanapokuwa hawajapata watoto/mtoto
Nilichojifunza leo kwa mstuko
Mme anampenda mke hata kama ameshapata mtoto/watoto
Mke anampenda sana mtoto/watoto akishapata mtoto/watoto. Mme anakuwa namba mbili.
Swali kwa wanawake:
Ni kitu gani hasa kinawafanya mhamishie mapenzi yenu kwa watoto na kuwaweke waume zenu namba 2? Hapa tu-assume hakuna ubaya wowote uliotendewa na mmeo.
Inauma sana aisee!
Mzee mwenzangu DC Retired Gen 1947 hapo juu,
Nakupigia saluti!
Hata kama wameamua kuhamishia mapenzi yetu kwa watoto wetu, sie tuendelee kuwapenda, kuwajali na kuwaheshimu. Ndio wajibu wetu kama wanaume.
Ila wakinamama hawa wangepata nafasi ya kukutana na mama yangu mdogo ambaye ni mjane labda wangeweza kunisaidia kuwelewa hii kauli yake ambayo huwa anaisema kila siku anapomkumbuka marehemu mmewe. Namnukuu
"Ni heri ningewakosa hawa watoto kuliko ninavyomkosa Willy (mmewe), Ningejua angekufa mapema namna hii nisingekubali kuolewa naye. Ukiwa na mme umpendaye sana, usiombe kuwa mjane". Mwisho wa kunukuu, na ikumbukwe si kwamba ana shida ya fedha, basi tu upweke.......
Ni ukweli unaouma sana! Sina cha kuongeza nyumba kubwa. Khaa!
Najaribu ku-imagine jinsi navyompenda Mama Matesha wangu kumbe yeye akili yake yooote iko kwa Matesha kwanza then ndo anifikirie mie....... Naanza kupata sababu nyingine kwanini wanaume karibu wote walio kwenye ndoa huwa wanacheat!! You dont love us the way we love you, and what do you expect?
Watoto si kuwa tunawependa tu ni wafariji wa hajabu kwa kila mama. Huwa napenda kufanya mazoezi asubuhi na wakati nafanya hivyo huwa nawawazia wanangu najisemea NK fanya mazoezi ili usije ukafa na ma BP na kuwaacha hawa lovely kids bila mama. They are the reason for my living.
...dohh, umenianzishia na thread?
Kwanza, mwj1 pole na samahani ya misunderstandings.
Pili, msimamo na maoni yangu juu ya hili
Unakuwa influenced zaidi na status yangu.
Aspirin, ...am a divorcee, what do you expect?
My kids comes first...lakini licha ya hayo, sikubaliani
Kuishi kwenye ndoa for the sake of my kids...
Hapana, nilimpenda mke wangu..lakini wanangu ni
Zaidi!
Ni ukweli unaouma sana! Sina cha kuongeza nyumba kubwa. Khaa!
Najaribu ku-imagine jinsi navyompenda Mama Matesha wangu kumbe yeye akili yake yooote iko kwa Matesha kwanza then ndo anifikirie mie....... Naanza kupata sababu nyingine kwanini wanaume karibu wote walio kwenye ndoa huwa wanacheat!! You dont love us the way we love you, and what do you expect?
Labda weye utaweza nipa matumaini........... hawa kina Nyumba Kubwa, Lizzy, Blaki Woman and co wamenimaliza kabisa aisee! Kumbe ningekuwa sijaoa ningeoa mgumba! lol (Mungu pitisha mbali, just kidding)Babu... Tuliza moyo.... Ntarudi baadae kidogo....
Ni ukweli unaouma sana! Sina cha kuongeza nyumba kubwa. Khaa!
Najaribu ku-imagine jinsi navyompenda Mama Matesha wangu kumbe yeye akili yake yooote iko kwa Matesha kwanza then ndo anifikirie mie....... Naanza kupata sababu nyingine kwanini wanaume karibu wote walio kwenye ndoa huwa wanacheat!! You dont love us the way we love you, and what do you expect?
Hahaha!!! LizzyAND HOW IS THAT???
Finally umepata sababu nyingine ya kujustify infii....hehehhe kaazi kweli kweli!!!
Babu naomba niseme tu kwamba mnapendwa sana kwa namna ile ambayo mwanamke anawea kumpenda mwanaume kama ambavyo nayi mnawapenda wenzi wenu kwa namna ambayo mwanaume anaweza kumpenda mwanamke ila hata siku moja huwezi kupendwa na mwanamke kama anavyowapenda wanawawe, au mwanamke kuwapenda wanawe kama anavyokupenda wewe.
Let me write in bold.... like kwareWanajumuiya salaam
Mie ODM wa wajukuu nimepitia sredi moja nikakutana na malumbano ya "who comes first" linapokuja swala la nani zaidi kati ya watoto Vs Mke/mme kwenye familia. Yaani who comes first kwenye kupenda, kujali, kujivunia, kujisifia etc.
Hebu angalieni hii misimamo
Wa kwanza
"My kids drive me crazy, i love them to the core...... they are sooo nice to me, and they are the force behind my search for a greener pasture, and no one can change it
I have never felt that love from anyone in my life, no broken promises, no late appointments, no excuses no questions and no arguments nor inspections and poking of my private life....they are just beautiful trusting creatures
Kwa wanangu, nothing comes before them, i can take bullets"........... MTM
Wa pili
"I love my kids more than their mum, period!
unconditional love!"..................... Mbu
Wa tatu
"Nyie watu sio kwamba mnatumia unvariable measures kupima upendo kwa wake/spouses wenu na watoto wenu?
Mnasema they have pure love, they have uncondition sijui nini, c'mon guys what do you expect? wabehave kama wake zenu kwani wao ni wake zenu? There is no way mtoto atakupenda tofauti kwa kuwa ni mtoto na katu huwezilinganisha trust yake yeye kama mwanao na ile itokayo kwa mkeo! Kila mmoja anaplay kutokana na nafasi yake katika maisha yako bwana hebu acheni hizo!
Mlishawahijiuliza how do we feel (and the same linaapply kwa wanaume) when you put much love, time kwa watoto wetu zaidi ya wenzi wetu?! au tunajiona ni right kwa kuwa tu ni right na mnaashumu inaeleweka kwa kuwa tu inaeleweka?".................... MwanajamiiOne
Source: https://www.jamiiforums.com/mahusia...0-the-best-way-to-breakup-is-there-any-3.html
Nilitaka niweke na mie kamsimamo kangu kule lakini nikaona hili linahitaji mjadala unaojitegemea.
Kwangu mie wife comes first kwa kuwa:
1. Nilimpenda yeye hata kabla hatujapata watoto
2. Tusingejaliwa kupata mtoto nisingekuwa na option, angebakia kuwa yeye
3. Yeye ndiye aliyenizalia hao watoto ambao wengine ndo wanasema "wanawapenda zaidi ya mama zao
4. Ndiye chaguo langu la ukweli, sina uhakika kama hao watoto ni damu yangu kiukweli
5. Ndiye msaada wangu mkuu napokuwa matatizoni, nikiugua anavyo nihangaikia, nyie acheni tu!
6. Nikirudi nimepiga maulabu yangu, ananifungulia mlango na kunitengea chakula bila kinyongo
7. Anahakikisha niko nadhifu,
8. Napokuwa nimechacha ananielewa na kunivumilia
9. Alikubali kwa hiyari yake kuyapiga kibuti midume yooooote iliyokuwa inamsarandia akaja kwangu tena kwa kiapo kuishi nami katika shida na raha mpaka Ziraili atakapoamua kufanya vitu vyake.
Msimamo wangu:
Raha kwa watoto ni kuwaona wazazi wakipendana na kisha wao wazazi kwa pamoja kuwapenda watoto.
Baada ya kusema hayo naomba kusikia na wengine wanasemaje.
Niko kitandani huku, nawaangalia tu.
Onyo: Hairuhusiwi kuchakachua.
Refarii wa Sredi: PAW.
Mimi leo mshiki sina ujanja, nimeloa kwa kijasho! At least hiyo bold hapo nimepumua LOLAND HOW IS THAT???
Finally umepata sababu nyingine ya kujustify infii....hehehhe kaazi kweli kweli!!!
Babu naomba niseme tu kwamba mnapendwa sana kwa namna ile ambayo mwanamke anawea kumpenda mwanaume kama ambavyo nayi mnawapenda wenzi wenu kwa namna ambayo mwanaume anaweza kumpenda mwanamke ila hata siku moja huwezi kupendwa na mwanamke kama anavyowapenda wanawawe, au mwanamke kuwapenda wanawe kama anavyokupenda wewe.
1. The best thing a dad can do for his children is to love his mother biblically
2. The best thing a mother can do for her children is submit to her husband biblically
3. The best thing parents can do for their children......the best way to love their children.....is to make a solid biblical home and to have them faithfully
devoted to GOD.