Mdada unaogaje?!

Kuna dada huku mtaani nadhani anazingatia sana usafi na karibu yote hayo uliyoyaandika anayazingatia, ila sasa akienda kuoga then na ww ukifuata lazima bafuni ukutane na udongo chini kumbe ni idadi ya mafuta na manukato anayopaka hvy akioga yote yanaanguka chini.
 
Huyu itakuwa anapaka makeup nyingi
 
Sometime unamwaga motoo usio wa moto 😀😍
 
Ngoja ninunue nisafishe kidaka ushuzi🥴
 
Kumtongoza dada wa kazi nisawa umemfanyia ukatili atakukubali kwasababu hana pakwemda na anajua akipoteza iyo kazi kupata tena ni ngumu so why umnyanyase mtu kihisia
Hakuna ukatili unaombatana na utamu mkuu, yan akubali halafu apate raha useme ni ukatili? Rudi kwenye mapishi tu mkuu huku umepotea njia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…