Hivi Mamndenyi si bado unataka mume?
Si uliniambiaga unapenda wenye hizo sifa?
Usinkatise taama
bora nibakie kuwa single lady tu!!!
Sifazangu ni:-
1-Makengeza
2-Pua ka ngumi
3-Nywele ka mkutano wa nzi
4-Maskio ka bakuli
5-Meno ka reki (gaucho)
6-Mdomo unaharufu ka tundu la choo
7-Sura ka nimenusa harufu mbaya
8-Kikwapa ka fagio la choo
9-Mweusi ka masizi
10-Sija ta..riwa (nina mkono wa sweta)