Mdada mzuri, tabia za kuku

Mdada mzuri, tabia za kuku

Nimeona naandika maneno mengi kisha nafuta Sasa nifanye shortcut maana wewe ni mjinga.
Tafuta maana ya neno mtu alafu ukimaliza tafuta maana ya mtu mume ukimaliza tafuta mtu mzima mwenye hakima ukikosa kwenye jamii yako pm hata kwa mshana.
Jambo la mwisho pesa pia ni kipimo cha akili usipokubali kubadilika maandishi yako yanaonesha utakufa masikini
Naona wengi wenu mnamtuhum, maana hayajawafika bado, sema mkuu apo amekosea kumuuza, ila katika suala zima la mapenzi lina siri yake.dem waweza muelekeza kabisa kuwa upemdi k2 hiki akakuelewa baada ya muda akaendeleza tabia zake.

NB:kumfuga sungura poli ni ngumu sana.
 
Yaani unampa namba mtu amjaribu mpenzi wako😂😂 afu bado karoho kanampenda..utaumia bure...
Ila kuna charges yoyote unapewa ukigawa namba kutuliza maumivu kidogo au ndo kizuri kula na mwenzio kiroho Safi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mungu akuhurumie mana kama mama ako mzazi angefanyiwa hivo usingekuepo kenge wew
 
Yaani unampa namba mtu amjaribu mpenzi wako afu bado karoho kanampenda..utaumia bure...
Ila kuna charges yoyote unapewa ukigawa namba kutuliza maumivu kidogo au ndo kizuri kula na mwenzio kiroho Safi
Mi ata sijaona kama roho inamuuma ila amesema tu reality
 
Yaani unampa namba mtu amjaribu mpenzi wako afu bado karoho kanampenda..utaumia bure...
Ila kuna charges yoyote unapewa ukigawa namba kutuliza maumivu kidogo au ndo kizuri kula na mwenzio kiroho Safi
kizuri kula na mwenzio ndugu

Sent from my SM-N960U1 using JamiiForums mobile app
 
Yaani unampa namba mtu amjaribu mpenzi wako afu bado karoho kanampenda..utaumia bure...
Ila kuna charges yoyote unapewa ukigawa namba kutuliza maumivu kidogo au ndo kizuri kula na mwenzio kiroho Safi
kangekua kanauma ningemwambia demu usiende kwa uyo jamaa, so ninhemuarbua jamaa , ila nasubili ale kwanza

Sent from my SM-N960U1 using JamiiForums mobile app
 
Unapotea kijana
Nina demu nikiri ni demu wangu, ila jana nmemuacha lasmi japo yeye hajajua yaani atakula mkausho hajawai kuona.

Ni mzuri sana, ana shape kubwa, ni mweupe, yaani shape lipo haswa, ila nliwai kumfuma anachati na wanaume wannne na wote wanadai na wapenzi wake, nliwai kumuacha nkamutukana vibaya mno, ila alilia rafiki yake akaja kuomba msamaha, na demu akakiri kubadilika

Sasa juzi, kuna mwamba hua ananiomba no. za watoto wakali, nkamtumia no. za mademu zangu wote, maana najua stamuoa ata mmja wao, bora wengne wamekaza kuna mmja kawa mgumu kabisa, ila sasa uyu leo anaenda kuliwa mida ya saa 4, napicha ntatumiwa , nmemwambia jamaa ahakikishe anamla asimuache.

Wadada badilikeni jamani, demu yuko vizuri, sio kanishinda ila naogopa kufa wakuu, atakaeitaji no. yake nampa inbox ila mpka jamaa amalize mission yake msije kumuaribia, atakaehitaji anicheki jion..
Duuuh kwa style io utauza wangap?
Mwanamke mwenye tabia nzur utengenezwa na mwanaume wke kama kwl unampenda mbadlshe tabia awe unavotka akuna wife material from heaven
 
Back
Top Bottom