Muongo tu huyu anataka kuwadhalilisha dada zetu humu JF siamini hicho kitu hata kidogo
Mtu yoyote anayeingia humu ni mstaarabu, na muelewa kwani kusurf humu ni gharama licha ya kupoteza muda na kuna vitu vingi vya kuelimisha, sasa mdada wa watu hajakutana na watu mpaka ndani ya JF
Haya mambo yapo Facebook sio JF