Habari wana jukwaa,natafuta mdada (lady) kwa ajili ya urafiki, upenzi,uchumba,ndoa (kama mimi na yeye tutapendana kweli).
Awe na umri kuanzia miaka 28 mpaka 35.mambo mengine tutafahamishana kwa PM kwa atakayekuwa serious.
Mwaga sifa zako mambo ya kuingizana cha kiume sio ishu mchumba
Umeshampata?????
Mwaga sifa zako mambo ya kuingizana cha kiume sio ishu mchumba
mimi hapa ndipo ninapochokaga inamaana sifa za mke bora niumritu?
hahahaa ze double-agent SALT, ukiingia cha kiume si unatoka tu.:embarrassed:
Thank you very much mkuu
still searching ......