Enrick Rwezaula
Senior Member
- Aug 17, 2024
- 124
- 127
Wakuu samahani naomba kujuzwa kuhusu ajira zinazotangazwa na MDA & LGAs. Hapa kwenye 'MDA' mara nyingi naona hizi taasisi zinazojitegemea zinatangaza nafasi za kazi zenyewe mfano TRA, TANAPA, TAKUKURU nk, sasa je hizi zinazotangazwa kupitia MDA & LGAs waajiriwa wake hupelekwa katika taasisi gani ikiwa hizi taasisi bado zinaajiri zenyewe? Au kuna taasisi ambazo haziruhusiwi kujiendeshea mchakato wa ajira!