Anatafuta umaarufu kwa nguvu sana huyu mchungaji. Badala ya leo kuwa kanisani na kondoo wa bwana, yupo busy anahatarisha amani ya nchi.
Naona sasa ni wakati wa kuwawajibisha viongozi wa aina hii ili iwe fundisho na kwa wengine.
Ndugu vipi? imeshindikana kuwajibishana kwenye rada, Richmond, epa, meno ya tembo, meremeta, mikataba mibovu, leo mnataka kumwajibisha mtanzania mzalendo, kwa kauli yake yenye ukweli ndani, HIVI KWELI TUTAFIKA? tafakari sana,