Mchungaji na wanawake 7 watiwa mbaroni baada ya kukutwa wakisali wakiwa uchi

Big up wachungaji wote, hakika mnazitendea haki nyoyo zenu
 
Sijui kwanini wanawake wanadanganyika kirahisi iwe kwenye mapenzi, utapeli hata kwa manabii na wachungaji makanjanja
 
Habari kama hizi bila picha ni kuchafuana tuu.
 
Wachungaji na shughuli zao
Hii dunia tutasikia mengi kwa wachungaji

Mara watoto mara wake za watu
 
hivi kwanini waungwana humu jf unapenda kuanzisha siridi bila picha hivi ukipigwa ban utasema umeonewa? au tukiisusa siridi yako bila comment wala like utasema unatengwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…